Uchaguzi 2020 Jimbo la Morogoro mjini linamuhitaji Mbunge msomi na mwenye mikakati

Ila aboud bhn, kwenye misiba anatoa bus lililokongoroka. 😁

All in all Moro kwa Aboud huwaambii kitu. Wanampenda sana. Labda jina lake likatwe.

Huyu Abood kila ukitajwa mchango wake kwa wana Moro ni swala la kuchangia misiba tu nasikia. Hakuna jambo lingine analosaidia jamii hapo zaidi ya kuwaombea mfe ili atoe mabasi?
 
Alipogombea Profesa, mkamletea mizengwe ya udini na ukabila...mkamchagua mhindi kisa anatoa basi lake kwenye misiba...kaeni na huyo muhindi wenu anawatosha kwa akili zenu
Angekua ni wa muhimu sana kama angetoa misaada kwa wagonjwa sio wafu,ukifa hata asipotoa bus lake tutazikana tu.
 
Watu wa Morogoro, hasa Moro Mjini wamelaza Sana akili, wanaenda vya bure wanavyogawiwa na Avoid. Lakini Moro Kuna changamoto nyingi Sana Kama za barabara,maji n.k
Utawasikia wakisema tunampenda mbunge wetu sababu ukifiwa anajitolea gari kupeleka makaburini wakati huohuo Hana maji miaka nenda rudi. Vimisaada vya kijinga meno yote nje
 
Alipogombea Profesa, mkamletea mizengwe ya udini na ukabila...mkamchagua mhindi kisa anatoa basi lake kwenye misiba...kaeni na huyo muhindi wenu anawatosha kwa akili zenu
Hapo kwenye kutoa gari kwa ajili ya msiba ndio naonaga watu wa morogoro bure kbs. Mtu huna maji miaka nenda rudi ila kamsiba kwa mara moja kwa miaka mitano mtu kakuletea gari ndio umeona mfalme wenu. Hv hata mkichanga msibani miatano tano huyo marehemu hapelekwi makaburini. Vipo vitu vya kutupumbaza lakini hiyo staili ya kudanganya walio na upeo mdogo sn
 
Hamna hata aibu watu wa Morogoro. Hivi kweli Aboud ni mwakilishi wa wananchi wa hali ya chini wa Morogoro? Jaribu kwenda India uone kama utapata hata uwenyekiti wa mtaa....#Gabachori
Wakati wa nyerere majaji walikuwa mpaka wahindi na wazungu Acheni ubaguzi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ukweli mtupu. Watanzania walio wengi hawajui ni nini kazi ya mbunge.
 
hakuna watu wa hovyo kama watu wa morogoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…