Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Jimbo la Moshi Mjini lililoko Moshi mkoani Kilimanjaro limekuwa chini ya CHADEMA kwa muda wa miaka 20, kuanzia mwaka 1995.
Katika Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 Antony Komu alishinda Jimbo hilo kupitia NCCR-Mageuzi na kuwa mbunge hadi mwaka 2000. Komu alihamia CHADEMA.
Kuanzia mwaka 2000 hadi 2015 lilikuwa chini ya Philimon Ndesamburo kupitia CHADEMA. Uchaguzi Mkuu wa 2015 ulimfanya Japhary Michael kuwa mbunge wa jimbo hilo hadi mwaka 2020.
Katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, Priscus Tarimo kupitia CCM amelichukua Jimbo hilo na kufanya Jimbo hilo kuwa la CCM kwa 2020 – 2025.
Katika Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 Antony Komu alishinda Jimbo hilo kupitia NCCR-Mageuzi na kuwa mbunge hadi mwaka 2000. Komu alihamia CHADEMA.
Kuanzia mwaka 2000 hadi 2015 lilikuwa chini ya Philimon Ndesamburo kupitia CHADEMA. Uchaguzi Mkuu wa 2015 ulimfanya Japhary Michael kuwa mbunge wa jimbo hilo hadi mwaka 2020.
Katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, Priscus Tarimo kupitia CCM amelichukua Jimbo hilo na kufanya Jimbo hilo kuwa la CCM kwa 2020 – 2025.