Uchaguzi 2020 Jimbo la Moshi Mjini lachukuliwa na CCM kwa mara ya kwanza tangu Uasisi wa mfumo wa Vyama Vingi nchini

Sugu, Mbowe...chali, kifo cha mende, ndembe, ndembe...kwa sauti ya Lipumba!
 
Halijachukuliwa, limeporwa na TISS wakawapa CCM.
 
Mbunge wa kwanza moshi mjini baada ya vyama vingi kurudishwa alikuwa Mtui
 
Wewe umekaa nyuma ya keyboard unapiga kelele unataka nani akupiganie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…