Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mbona keshapima afya ya akili Mirembe kaonekana yuko fit?Hii ni moja ya thread za aibu jamvini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona keshapima afya ya akili Mirembe kaonekana yuko fit?Hii ni moja ya thread za aibu jamvini
Anaitwa Hezekia Wenje, yuko rorya nasikia mkulu alidhani ni mgombea kupitia CCM akawa anamnadi akakumbushwa kwamba mgombea wa CCM ni Jaffar.Ezekiel wenje yuko wapi au amehama chama maana kama nilisikia hivi mzee baba anamuombea kura
Eti kwa Salum Mwalimu.Kwa chama kipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaitwa Hezekia Wenje, yuko rorya nasikia mkulu alidhani ni mgombea kupitia CCM akawa anamnadi akakumbushwa kwamba mgombea wa CCM ni Jaffar.
Atapatat tuEti kwa Salum Mwalimu.
Pambalu kura yangu umepataNyamagana kwa yule dogo Pambalu au kwingine?
Mkuu unakaa Nyamagana kama mimi au ni stori za kuambiwa tu?Nyamagana mgombea wa ccM aliyesimamishwa ni dhaifu sana na watu wamemchoka hata ndani ya chama tatizo upinzani hawako serious sana kuonyesha nia ya kulichua jimbo hata huyo wa ACT hana upepeo wowote wa kushindana ..... Wamgepata mtu sahihi jimbo lingeondoka ccm kiurahic sana
Swala la kuchangiwa tena , kwani yeye hajajiandaaa its too late kwake ...... Atumie nguvu zake ..... Kujikwamua