Uchaguzi 2020 Jimbo la Nyamagana kurudi Upinzani 2020 Kwa ACT-Wazalendo

Ezekiel wenje yuko wapi au amehama chama maana kama nilisikia hivi mzee baba anamuombea kura
Anaitwa Hezekia Wenje, yuko rorya nasikia mkulu alidhani ni mgombea kupitia CCM akawa anamnadi akakumbushwa kwamba mgombea wa CCM ni Jaffar.
 
Anaitwa Hezekia Wenje, yuko rorya nasikia mkulu alidhani ni mgombea kupitia CCM akawa anamnadi akakumbushwa kwamba mgombea wa CCM ni Jaffar.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu unakaa Nyamagana kama mimi au ni stori za kuambiwa tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…