Tetesi: Jimbo la Zanzibar ya Wamasaai linaenda kwa mwangalizi wa Mali Mkuu wa Hekaya aliyestaafu

Tetesi: Jimbo la Zanzibar ya Wamasaai linaenda kwa mwangalizi wa Mali Mkuu wa Hekaya aliyestaafu

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,

Itakuwa Mwaka 2025 wala si now

Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!

Britanicca
 
Mzeebaba tangu unipige kamba sikuamini tena kila prediction unayotoa unatoa boko umekua km Aziz tu sio Andamwile Aziz Ki
Komredi, sasa kila utabiri ukitimia, si utaanza kusaka mikakati ya kumroga? Mm nashukuru sana kwamba mengine hayatimii ili hawa watu muhimu waendelee kuishi. Vinginevyo wataliwa vichwa saa sita adhuhuri.

CC: Victoire
CC: yoga

Si ndivyo wakili wangu msomi mbobevu Pascal Mayalla ?
 
Ataiweza kweli kigamboni kama “agnya” inamshinda?
Hiyo timu mbona haimshindi. Bongo hata kilaza mkuu anaweza ongoza timu, watu maarufu kwenye mpira ndio hawa kina Manala na Mzee Mpiri.

Kwenye mada kwahiyo chanzo cha mapumziko makuu ya dungu ni kipi. Tukiachana na uteuzi wake wizara ya afya gizani pote, maandalizi ya kumuondoa yanawezekana yalianza kabla haijajulikana atakwaa cheo.
 
Kazi imeanza spana kila sehemu, mpaka hipsi zikonde zile misumari tuuu.
 
Back
Top Bottom