Tetesi: Jimbo la Zanzibar ya Wamasaai linaenda kwa mwangalizi wa Mali Mkuu wa Hekaya aliyestaafu

Tetesi: Jimbo la Zanzibar ya Wamasaai linaenda kwa mwangalizi wa Mali Mkuu wa Hekaya aliyestaafu

Umejilipua Mzee mwenzangu 🤣🤣🤣
GSM Mwenyewe ? Au Don Salah ? Maana enzi za Jakaya alijuwaga Balozi wa Guangzhou.
Sema pale tusubirie Kuna wahuni wamekaaa sehemu wametulia wanasoma mchezo we unaweza sema Don Salah au GSM lkn counter inaweza pigwa sekunde yeyote
 
MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,

Itakuwa Mwaka 2025 wala si now

Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!

Britanicca
Kwahiyo ilibidi bygone a bygone Ili kuacha gap hilo!!?Ili msg alambe jimbo!!?

Ongeza nyama !
 
MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,

Itakuwa Mwaka 2025 wala si now

Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!

Britanicca
Huenda hiki kikundi cha umafia huenda kimemuua wa wana kisiwa ndani ya Mzizima
 
MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,

Itakuwa Mwaka 2025 wala si now

Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!

Britanicca
We si ulipotosha kina Mdee wasingeweza fukuzwa how can we trust you again.
 
MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,

Itakuwa Mwaka 2025 wala si now

Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!

Britanicca
Coded: MSG
Uncoded: GSM
 
Back
Top Bottom