Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
GSM anaandaliwa kuwa mbunge wa kigamboni kulinda Mali za JKNimetoka kapa
p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GSM anaandaliwa kuwa mbunge wa kigamboni kulinda Mali za JKNimetoka kapa
p
Umejilipua Mzee mwenzangu 🤣🤣🤣GSM anaandaliwa kuwa mbunge wa kigamboni kulinda Mali za JK
Sema pale tusubirie Kuna wahuni wamekaaa sehemu wametulia wanasoma mchezo we unaweza sema Don Salah au GSM lkn counter inaweza pigwa sekunde yeyoteUmejilipua Mzee mwenzangu 🤣🤣🤣
GSM Mwenyewe ? Au Don Salah ? Maana enzi za Jakaya alijuwaga Balozi wa Guangzhou.
HahahaHata mimi kwa sasa simuamini hata kidogo taarifa zake.
Paschal.Pamoja na ukongwe wako ktk hizi medani Bado ujaelewa?japo Kwa kuunganisha dot,je sie vijana tusemeje!Nimetoka kapa
p
si wengi wanajua simba akiwa mzee sana,hawezi kuwinda,hivyo anakula majani!。Paschal.Pamoja na ukongwe wako ktk hizi medani Bado ujaelewa?japo Kwa kuunganisha dot,je sie vijana tusemeje!
GSMNimetoka kapa
p
Kwahiyo ilibidi bygone a bygone Ili kuacha gap hilo!!?Ili msg alambe jimbo!!?MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,
Itakuwa Mwaka 2025 wala si now
Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!
Britanicca
Huenda hiki kikundi cha umafia huenda kimemuua wa wana kisiwa ndani ya MzizimaMSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,
Itakuwa Mwaka 2025 wala si now
Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!
Britanicca
We si ulipotosha kina Mdee wasingeweza fukuzwa how can we trust you again.MSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,
Itakuwa Mwaka 2025 wala si now
Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!
Britanicca
Coded: MSGMSG ndo anaandaliwa kushika jimbo ambalo ni Zanzibar’s ya wamasaai, kulinda Maslahi za familia ya mkuu wa hekaya alostaafu,
Itakuwa Mwaka 2025 wala si now
Ikumbukwe mzee wa kuambiwa changanya zako ndo mmiliki halali wa Mali zinazosemekana za MSG!
Vikao 10 sasa !!!
Britanicca
Yule wa klabuniGSM nae anaweza siasa?