Duuuh hii nchi ina wasanii wengi[emoji134]
Huyu hata simfahamu.
Simjui.Mume wake verasidika humjui
Ndio huyo mtoa mada [emoji23][emoji23] anajipigia promoSimjui.
Amtoe wapi mkuu?Ungemtoa tu
Nimeangalia nyimbo zake ni wa kawaida badoNi kati ya vijana wenye uwezo mkubwa sana wa kuimba niliowahi kusikia.
Ndiyo ni wa kawaida.Nimeangalia nyimbo zake ni wa kawaida bado
Huko alikofichwaAmtoe wapi mkuu?