pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Wakuu habari zenu,
Nimekuwa nikimfuatilia na kumuona kwa mda mrefu msanii anayejulikana kama (Jimmy chansa)anaonekana ana kipaji cha kuimba ila bado hapati support anayo stahili.
Nyimbo zake kama 'nitamtafuta' na 'we mchoyo' ni Kali sana ingawa hazijasikika sana kwa mashabiki.
Kuna mda alikuwa karibu sana na wasanii kama JumaJux na Hemedi (PhD) nilidhani labda wange mvusha pale alipo ila hali imeendelea kuwa vile vile kwake na kuna taarifa pia kwamba ni doctor.
Wakuu anayemfahamu huyu kijana details zake na management yake kwa undani naona kama wanamchelewesha hivi kumtoa
Wasalam ni hayo tu. View attachment 1191602
Nimekuwa nikimfuatilia na kumuona kwa mda mrefu msanii anayejulikana kama (Jimmy chansa)anaonekana ana kipaji cha kuimba ila bado hapati support anayo stahili.
Nyimbo zake kama 'nitamtafuta' na 'we mchoyo' ni Kali sana ingawa hazijasikika sana kwa mashabiki.
Kuna mda alikuwa karibu sana na wasanii kama JumaJux na Hemedi (PhD) nilidhani labda wange mvusha pale alipo ila hali imeendelea kuwa vile vile kwake na kuna taarifa pia kwamba ni doctor.
Wakuu anayemfahamu huyu kijana details zake na management yake kwa undani naona kama wanamchelewesha hivi kumtoa
Wasalam ni hayo tu. View attachment 1191602