ngoma yake kali ni ile sijakusahau, ila mtoa kua wazi usije kua wewe ndo Jimmy Chansa mwenyewe umekuja kutafuta mashabiki Jf,toa ngoma kali mashabiki watakuja tu
ngoma yake kali ni ile sijakusahau, ila mtoa kua wazi usije kua wewe ndo Jimmy Chansa mwenyewe umekuja kutafuta mashabiki Jf,toa ngoma kali mashabiki watakuja tu
Jamaa mi namkubali sana anaimba sana,,,,me nadhan kashatoka huez sema jamaa ni underground et,,,ni kwamba tuu haapdate watu na mziki wake mara kwa mara but nahisi hii inachagizwa na hyo kazi ya udaktari but jamaa itz big artist huez sema hajatoka