mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Football is for fans, Shabiki wa Yanga kindakindaki yuko tayari kuchukua fomu ya kugombea ujumbe pale TFF kesho au kesho kutwa.
Vijana tupeane sapoti, kijanja huyu msomi na mwenye mapenzi ya dhati na mpira, yupo tayari kutusogeza mbele zaidi ya hapa.
Ukiondoa mapenzi yake ya Yanga, huku atakuwa neutral. Mpeni nafasi.Tunahitaji vijana walio na damu changa waweze kutusogeza.mambo mengine tutajua baadae kidogo kuwa kwa Nini ameamua kugombea na sera zake hasa ni zipo?!
Au mnesemaje wadau wa michezo?