balibabambonahi JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 15,771 Reaction score 14,294 May 13, 2024 #21 Ushimen said: 4Ways, Dodoma Click to expand... Mungu hakuna,laki si pesa
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 May 13, 2024 #22 youngkato said: Kuna majina mengi ya bar ya ajabu mengine yana maneo makali sana Nitaanza na mfano 1. Kidimbwi 2. Toroka uje Weka jina unalofahamu Click to expand... Nimesikia jina hapa kwenye Chanel 10+ Muda huu.. JINA: KUMALIJA PUB_ UKONGA
youngkato said: Kuna majina mengi ya bar ya ajabu mengine yana maneo makali sana Nitaanza na mfano 1. Kidimbwi 2. Toroka uje Weka jina unalofahamu Click to expand... Nimesikia jina hapa kwenye Chanel 10+ Muda huu.. JINA: KUMALIJA PUB_ UKONGA
la magica JF-Expert Member Joined Sep 30, 2015 Posts 1,979 Reaction score 3,148 May 13, 2024 #23 Madame B said: Kmmk panajaza pale. Nilishuka kunywa wakati natoka Dar kuja Dom. Sijui kama bado wanajaza vile skhzi Click to expand... Mpaka saa 11 asubuhi pako full.
Madame B said: Kmmk panajaza pale. Nilishuka kunywa wakati natoka Dar kuja Dom. Sijui kama bado wanajaza vile skhzi Click to expand... Mpaka saa 11 asubuhi pako full.
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,155 Reaction score 35,683 May 14, 2024 #24 la magica said: Mpaka saa 11 asubuhi pako full. Click to expand... Hatari sana mkuu. Wakati natoka Dom kwenda Dar nilipapita, nikasema nikirudi lazima nishuke. Kweli wakati wa kurudi nikashukia palepale ilikuwa saa 4 usiku, nikapata vibe, saa 10 usiku nikadandia coaster nikarudi zangu Dom nikiwa na vibe kiasi.😋
la magica said: Mpaka saa 11 asubuhi pako full. Click to expand... Hatari sana mkuu. Wakati natoka Dom kwenda Dar nilipapita, nikasema nikirudi lazima nishuke. Kweli wakati wa kurudi nikashukia palepale ilikuwa saa 4 usiku, nikapata vibe, saa 10 usiku nikadandia coaster nikarudi zangu Dom nikiwa na vibe kiasi.😋