Jina gani la Kibantu ambalo umewahi kulisikia hapa nchini likakuduwaza?

Nimeshakutana na jamaa anaitwa Kaburi. Kuuliza nikaambiwa aliugua sana sana udogoni karibu afe.
 
Mgongo Fimbo.
 
Ninyandue Mbele tumesoma naye shule ya Msingi Jacaranda
 
BUREKI ZAMBERE 🐒

AKAJA AKATO....A balozi wa Zambia
 
Matagi ya soda
enzi hizo itv usipoumuona juliana matagi ya soda na netball yake bas utamshuhudua saidi kengele boss wa chama cha waendesha baiskeli good ald days hakukua na korona red-eyes mataga wala chawa wa kizimkazi
 
Kwa heshima kubwa kwa marehemu, Mungu amuweke pema.
Mimi sikuwahi kusikia jina la Magufuli, je limetokana au lina chanzo na neno kufuli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…