Jina gani umesave la mpenzi/wapenzi wako katika simu yako?

Jina gani umesave la mpenzi/wapenzi wako katika simu yako?

Mpwa mimi natumia kama hii...nikitaka kupiga simu naenda kwenye yelo peji

shelter_oldphone.jpg

hapo ni mwendo wa kuizungusha tu. Hakuna haja ya kusave majina wala kutuma au kupokea meseji. Life goes on.
 
Me nimemsave zilipendwa, kwenye line ya tigo ATM,kwenye airtel huduma kwa wateja,kwenye Zantel nimemsave chumaulete

Sent from my dar es salaam
 
ana madhambi yake mengi tu, nio namna ya kupunguza stress, ukishasevu hivyo unapunguza stress juu yake. Good

yeah ni kweli,ila alieseviwa hivo
i cant imagine the feelings wakati wewe
huku umemsave "darling" "husband"
 
Mm kuna mmoja nlimsave my love. Alipoanza dharau nlibadilisha nkamsave 'mavi'. Bt that was long time. Lols
 
mi wangu majanga niligundua amenisave jina la binti yetu nilichoka mpaka leo kaacha hilo hilo bado najiuliza anamaanisha nini nisaidieni namna ya kutatua issue hii. Ni mke wake wa ndoa kabsaaa tena tuna huu mwaka wa 15
 
mi wangu majanga niligundua amenisave jina la binti yetu nilichoka mpaka leo kaacha hilo hilo bado najiuliza anamaanisha nini nisaidieni namna ya kutatua issue hii. Ni mke wake wa ndoa kabsaaa tena tuna huu mwaka wa 15
Hapo sasa utata, sikutii hofu ila wanaume wa miaka hii sio sawa na wale wa wakati wa mwalimu. Usilichukulie juu juu ukiwa na nafasi fungua macho zaidi isije ikawa hisia anazotumia kwako ni kwa kumwaza mwanenu.
 
fast jet
(always reminding me nitravel SMART)AHA
 
Unataka kujua jina gani limewekwa ama unauliza kama ni haki? Tutabakia kulaumu serikali lakini kufeli mtihani ni sababu ya kutofuata maelekezo.
 
Back
Top Bottom