MrSocrates
Member
- Sep 29, 2017
- 46
- 30
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sorry we ni 'me' au 'ke'?Imepita
Hahaaaaaaa umegoma kuitwa madameMkuu numbisa
Unawajuaje kama huyu ni mwanamke?Mimi nana hii "Mkuu" inapendeza sana kuitumia kwa wanaume huku lakini kuitumia kwa wanawake inakua haina maana kabisa nafikiri kuanzi leo wanajamvi wanawake tuwaite "MADAME"
Au nyie mnaonaje wanajamvi?
Imepenyaaaaa