MrSocrates
Member
- Sep 29, 2017
- 46
- 30
Mimi nana hii "Mkuu" inapendeza sana kuitumia kwa wanaume huku lakini kuitumia kwa wanawake inakua haina maana kabisa nafikiri kuanzi leo wanajamvi wanawake tuwaite "MADAME"
Au nyie mnaonaje wanajamvi?
Au nyie mnaonaje wanajamvi?