Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
wavuka maji wengi hata hivyo huwa hawaisaidii nchi kwakweli.Hilo jina linajadiliwa mno kwenye corridor za juu huko na upinzani ni mkubwa mno baina yeye na aliyepo sasa kwenye mambo ya (njuruuu)ni nani baina yao akawe boss wa wizara mpya inayoenda kuanzishwa hivi karibuni ihusuyo mambo ya mipango.
" Ilikuwa yule mvuka maji msaidizi wa jamaa angepandishwa kuwa boss na boss angepelekwa mipango lakini kiongozi atasita kumpandisha mvuka maji mwenzake kwa sababu upepo una dhoruba mno kama unavyotambua."
Ukabila wa kipuuzi sana huuHuyo hapana. Ni Mchagga!
Kweli kabisa!Ukabila wa kipuuzi sana huu
Mwigulu ni Abu bakriAngekuwa Abu Bakari kimei ingekuwa kitambo mbonaa
Kwamba watu hawajui hili?Msichojua Bajeti kabla ya kupelekwa bungeni lazima Baraza la Mawaziri waipitie
Lazima TRA wahusishwe katika kushauri
Lazima hazina ihusishwe
Bajeti ni mkono wa Rais
Kukubwa uzima tu mengine kila mtu apambane na yakeWatajuana wenyewe.
Licha ya mapungufu na nyodo za mzee wa hamieni burundi huyo kimei haiwezi wizara ya fedha na mipango hata uwezo wa kuongea tu in public ni taabu aangaliwe mchumi mwingine ila Kimei is unfitKimei sio "Waziri material", waziri anatakiwa kuwa ni mchakarikaji lakini Kimei haonekani kuwa na kariba huyo. Hata akipewa anaweza asimalize miezi mitatu.
Bas tumpe mumeo wizara zotembona samia hajiamini ila mimi naona kila akibadilisha ndio anazidi kuwasogeza vibaka na wanafiki karibu na kuwasogeza mbali wazalendo..katika teuzi zake sijawahi kuona hata akimpata mtu sahihi..
karibu wizara zote zimepyaya at least wizara ya elimu na kilimo