Jina la Dkt. Kimei lipo mezani

Jina la Dkt. Kimei lipo mezani

Hilo jina linajadiliwa mno kwenye corridor za juu huko na upinzani ni mkubwa mno baina yeye na aliyepo sasa kwenye mambo ya (njuruuu)ni nani baina yao akawe boss wa wizara mpya inayoenda kuanzishwa hivi karibuni ihusuyo mambo ya mipango.

" Ilikuwa yule mvuka maji msaidizi wa jamaa angepandishwa kuwa boss na boss angepelekwa mipango lakini kiongozi atasita kumpandisha mvuka maji mwenzake kwa sababu upepo una dhoruba mno kama unavyotambua."
wavuka maji wengi hata hivyo huwa hawaisaidii nchi kwakweli.
 
Msichojua Bajeti kabla ya kupelekwa bungeni lazima Baraza la Mawaziri waipitie

Lazima TRA wahusishwe katika kushauri

Lazima hazina ihusishwe

Bajeti ni mkono wa Rais
Kwamba watu hawajui hili?
 
Kimei amekaa sana kwenye mambo yahusuyo fedha na kwa mantiki hiyo anao uelewa mkubwa wa nasuala ya fedha kuliko huyu PhD Madilu.
 
Kimei sio "Waziri material", waziri anatakiwa kuwa ni mchakarikaji lakini Kimei haonekani kuwa na kariba huyo. Hata akipewa anaweza asimalize miezi mitatu.
Licha ya mapungufu na nyodo za mzee wa hamieni burundi huyo kimei haiwezi wizara ya fedha na mipango hata uwezo wa kuongea tu in public ni taabu aangaliwe mchumi mwingine ila Kimei is unfit
 
mbona samia hajiamini ila mimi naona kila akibadilisha ndio anazidi kuwasogeza vibaka na wanafiki karibu na kuwasogeza mbali wazalendo..katika teuzi zake sijawahi kuona hata akimpata mtu sahihi..

karibu wizara zote zimepyaya at least wizara ya elimu na kilimo
Bas tumpe mumeo wizara zote
 
Back
Top Bottom