Jina la Magufuli limetajwa sana mwaka 2022

Jina la Magufuli limetajwa sana mwaka 2022

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na awamu zijazo na hata kwenye uchaguzi ujao,alikuwa ni mmoja wa viongozi wachache sana wazalendo wa kweli kwa wananchi wanyonge Nchi nzima ya Tanzania.

Ni hulka ya binadamu,tunapokuwa mbele ya Watanzania,kama kiongozi nifanyeje ili nami wanione bora kama Rais John Pombe Magufuli au niwe bora zaidi yake,je nimtukane au nitende kama yeye,kwa hivyo basi Rais Magufuli amefanyika kuwa kipimio cha wengi kwa kihaya wanasema Rais Magufuli amefanyika kuwa "Measuring stick".

Kila kiongozi lazima atamtaja ili kujipima mbele za Wananchi wa Tanzania,Kila kiongozi anaetaka kukanekti na wananchi basi lazima amtaje Rais Magufuli ili kujiweka sawa kwenye uongozi na Wananchi waweze kumuelewa,bila kutaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi hawawezi kukuelewa.

Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu,awe alikuziba mdogo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,sisi wauza mchicha tunasubiria reli ya Mwendokasi SGR iishe tukauze mchicha toka Dodoma na Morogoro tupeleke Dar es Salaam,sijui nauli itakuwa shilingi ngapi.

Naamini sisi wauza mchicha tutapewa 7,000 kama tulivyopewa kipaumbele na Hayati Rais Magufuli,naamini wanyonge wanamtaja kila siku wakati wa kununua mchele kilo moja 3,200 mle ugali ndugu zangu kilo 2,200 sasa shida maharage kilo 3,000 nayo imekuwa mboga ya anasa.

Hayati Rais Magufuli ameendelea kutikisa mwaka huu 2022 kwa sababu moja tu hakuna mtu mwenye sifa kama zake kiutawala,hili nalisema kama mbobezi katika masuala ya Uongozi,Rais John Pombe Magufuli alikuwa Champion katika mambo mengi na kila mwananchi analijua hilo.

Hii inawapa wakati mgumu viongozi wengi wanapokuwa mbele za Wananchi hivi sasa,useme nini wananchi wakuelewe,maana tayari Wananchi wana mfano wao wa kiongozi bora,wana performance appraisal ya kiongozi wao bora,nae ni John Pombe Joseph Magufuli.

Mtu ambae amefanya kazi na watanzania bara miaka zaidi ya 20 akiwa ni Field Public Leader tangu akiwa Naibu Waziri miaka ya 1995 kisha Waziri kamili katika wizara zaidi ya tano kwa miaka ishirini na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Faida na hasara za kulitaja jina la Rais Magufuli.
Faida

Katika Uongozi wa Rais Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii na miundo mbinu ambayo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, hivyo basi utakapo fanya jambo jema kwenye huduma za jamii au miundo mbinu na ukalitaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi watakuelewa sana.

Hayati Rais Magufuli alileta elimu bure,aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka sasa,hii ni faida aliyoleta Rais Magufuli.Rais Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa,na wakakata tamaa,Wananchi walifurahi Rais Magufuli alipokwenda na kutatua matatizo yao pale pale,hiyo ilikuwa ni karama ya Uongozi aliyokuwa nayo Rais Magufuli.

Magufuli alilinda rasilimali za nchi,tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege,unatarajia Watanzania wengi tungemchukia,jibu ni hapana, Watanzania walimpenda Rais Magufuli kwa sababu Wanyama waliongezeka mbugani badala ya kupungua na takwimu zinaonyesha,Rais Magufuli alijenga ukuta Mererani kuzuia kuibiwa kwa madini ya Tanzanite,hii hakuifanya kwa ajili yake bali aliifanya kwa ajili ya Watanzania,je unatarajia Watanzania wamchukie!?

Rais Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya biashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao.je unatarajia Watanzania wangemchukia Watanzania walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri hapana Rais Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji,wala rushwa,waonea wanyonge, Mafisadi na walanchi.

-Hasara

Unapotaja jina la Rais Magufuli kwa chuki binafsi za udini,ukabila au itikadi hii ni hasara kwako,adui yako si Magufuli,kwa wapinzani adui yenu ufisadi, uongozi mbovu,mfumuko wa bei kwenye bidhaa,na kutotumia vyema rasilimali za Tanzania kuinufaisha Tanzania.

Mpinzani wenu ni CCM kama itafanya vibaya mbele za Wananchi,Kosa hilohilo lilifanywa na Chadema ambao waligombana na Zitto na Dkt Slaa huku adui yao akiwa ni CCM ambayo ilionekana kuanza kukataliwa kwa Wananchi,

Kwa sasa tuna tatizo kubwa la mfumuko wa bei vitu vinavyowagusa Wananchi moja kwa moja badala yake Zitto Mambo ya mwaka 2017 na anamtaja mtu aliyekufa!! Sasa ataamka aje akurekebishie mfumuko wa bei uliopo hii leo!!?

Tukiwa kwenye mfumuko wa bei hakuna atakayemsema Hayati Rais Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi kama akina Zitto wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa hali ya chini, masikini ambao daima walimuona Rais Magufuli mkombozi wao.

Wakati huu wa maisha magumu vitu vinapanda bei ukimshambulia Rais Magufuli, Kwa namna mbalimbali,ni kujimaliza kisiasa,kifikra,kiutamaduni na kimaendeleo.

Kundi la Wananchi masikini walioneemeka au kupata ahueni kijamii,kiuchumi na kisiasa katika awamu ya Rais Magufuli daima watamchukia mtu ambae anamsema Rais Magufuli ambae kwao alikuwa mkombozi.

Kitendo cha Rais Magufuli kuleta nidhamu serikalini tayari ni neema maana watu watahudumiwa ipasavyo na hakika watu walihudumiwa ipasavyo, Umeme ulikuwa stable na Umeme usipokatika unatumika na watu wote na ukiwa stable faida twapata sote.

Aliwaachia wamachinga uhuru wa kutengeneza vipato vyao vya halali na wakapata hela kwa kazi za halali kwa hakika Wamachinga walimpenda Rais Magufuli kwa hilo,na kwa ujumla hatuwezi kusema hakuna alieneemeka kiuchumi!

Rais Magufuli alijenga Reli ya Umeme kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alijenga masoko Kila Wilaya Tanzania mzima kwa faida ya Watanzania,sio kwa faida yake,Rais Magufuli alijenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alihamisha makao makuu ya Nchi kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa faida ya Watanzania.

Leo atanangwa juu ya covid lakini twende ndani turudi nje mzee alifanya maamuzi sahihi juu ya lile suala,hilo gonjwa la corona tutaishinalo kama mafua na ukimwi tu hata huko nje sasa wanaishinalo.

Rais Magufuli hakukataa chanjo ila alitaka uhakika wa chanjo hizo kama ni salama kwanza,hii ni kwa faida ya Watanzania,yeye kama mkemia nae alitaka kujiridhisha,sio kupokea tu.

Kinachofanyika sasa ni kutoa ile imani ya utendaji wa Rais Magufuli ndani ya akili za Watanzania!,maana watu wanaamini ule utendaji wake kama ndio kiongozi anavyopaswa kuwa na waliusubiri uongozi kama huo kwa muda mrefu.

Sasa viongozi wa sasa wanajua tutawahukumu kwa kumtumia magufuli kama mfano!..Mfano suala la upatikanaji wa umeme lilivyoanza kusuasua ni mashahidi tosha watu walianza kupiga kelele!,na hii ni kwa sababu tulishazoeshwa huduma hii kutokuwa ya kusuasua katika Uongozi wa Rais Magufuli.

Nimalizie kwa kusema kwamba kuna watu wanachanganya kati ya Uzalendo na Uchawa,Uchawa siyo Uzalendo japo una tabia za kufanana. Awamu ya Tano kulikuwa na wazalendo wengi unaweza ukarejea viongozi kama Balozi Humprey Polepole na wengineo ila hivi sasa kuna chawa wengi.

Unaweza kufanya utafiti wako binafsi,Pumzika kwa amani Rais John Pombe Magufuli,Mzeee JPM apumzike kwa amani,kuna wahuni wanatembelea barabara zako ulizojenga,wengine wanapanda ndege zako ulizonunua na bado wanasema haukufanya chochote.

Enzi zako baba unga wa dona uliuzwa tsh. 800 kwa kilo moja,hivi sasa unga dona ni tsh 1800 hadi 2,200 kwa kilo moja,kazi inaendelea ila ikiendelea hivi kwenye uchaguzi ujao tutafika tumechoka, nimalizie kwa kusema,Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu Rais Magufuli,awe alikuziba mdomo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,niwatakie heri ya mwaka mpya 2023.

Nikiishia hapa, mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Limetajwa mara ngapi kati ya mara ngapi?
Mfano mara 2 kati ya mara tatu
 
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na awamu zijazo na hata kwenye uchaguzi ujao,alikuwa ni mmoja wa viongozi wachache sana wazalendo wa kweli kwa wananchi wanyonge Nchi nzima ya Tanzania,ni hulka ya binadamu,tunapokuwa mbele ya Watanzania,kama kiongozi nifanyeje ili nami wanione bora kama Rais John Pombe Magufuli au niwe bora zaidi yake,je nimtukane au nitende kama yeye,kwa hivyo basi Rais Magufuli amefanyika kuwa kipimio cha wengi kwa kihaya wanasema Rais Magufuli amefanyika kuwa "Measuring stick".

Kila kiongozi lazima atamtaja ili kujipima mbele za Wananchi wa Tanzania,Kila kiongozi anaetaka kukanekti na wananchi basi lazima amtaje Rais Magufuli ili kujiweka sawa kwenye uongozi na Wananchi waweze kumuelewa,bila kutaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi hawawezi kukuelewa,Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu,awe alikuziba mdogo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,sisi wauza mchicha tunasubiria reli ya Mwendokasi SGR iishe tukauze mchicha toka Dodoma na Morogoro tupeleke Dar es Salaam,sijui nauli itakuwa shilingi ngapi,naamini sisi wauza mchicha tutapewa 7,000 kama tulivyopewa kipaumbele na Hayati Rais Magufuli,naamini wanyonge wanamtaja kila siku wakati wa kununua mchele kilo moja 3,200 mle ugali ndugu zangu kilo 2,200 sasa shida maharage kilo 3,000 nayo imekuwa mboga ya anasa.

Hayati Rais Magufuli ameendelea kutikisa mwaka huu 2022 kwa sababu moja tu hakuna mtu mwenye sifa kama zake kiutawala,hili nalisema kama mbobezi katika masuala ya Uongozi,Rais John Pombe Magufuli alikuwa Champion katika mambo mengi na kila mwananchi analijua hilo,hii inawapa wakati mgumu viongozi wengi wanapokuwa mbele za Wananchi hivi sasa,useme nini wananchi wakuelewe,maana tayari Wananchi wana mfano wao wa kiongozi bora,wana performance appraisal ya kiongozi wao bora,nae ni John Pombe Joseph Magufuli,Mtu ambae amefanya kazi na watanzania bara miaka zaidi ya 20 akiwa ni Field Public Leader tangu akiwa Naibu Waziri miaka ya 1995 kisha Waziri kamili katika wizara zaidi ya tano kwa miaka ishirini na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

-Faida na hasara za kulitaja jina la Rais Magufuli.

1.Faida

Katika Uongozi wa Rais Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii na miundo mbinu ambayo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, hivyo basi utakapo fanya jambo jema kwenye huduma za jamii au miundo mbinu na ukalitaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi watakuelewa sana.

Hayati Rais Magufuli alileta elimu bure,aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka sasa,hii ni faida aliyoleta Rais Magufuli.Rais Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa,na wakakata tamaa,Wananchi walifurahi Rais Magufuli alipokwenda na kutatua matatizo yao pale pale,hiyo ilikuwa ni karama ya Uongozi aliyokuwa nayo Rais Magufuli.

Magufuli alilinda rasilimali za nchi,tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege,unatarajia Watanzania wengi tungemchukia,jibu ni hapana, Watanzania walimpenda Rais Magufuli kwa sababu Wanyama waliongezeka mbugani badala ya kupungua na takwimu zinaonyesha,Rais Magufuli alijenga ukuta Mererani kuzuia kuibiwa kwa madini ya Tanzanite,hii hakuifanya kwa ajili yake bali aliifanya kwa ajili ya Watanzania,je unatarajia Watanzania wamchukie!?

Rais Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya biashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao.je unatarajia Watanzania wangemchukia Watanzania walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri hapana Rais Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji,wala rushwa,waonea wanyonge, Mafisadi na walanchi.

-Hasara

Unapotaja jina la Rais Magufuli kwa chuki binafsi za udini,ukabila au itikadi hii ni hasara kwako,adui yako si Magufuli,kwa wapinzani adui yenu ufisadi, uongozi mbovu,mfumuko wa bei kwenye bidhaa,na kutotumia vyema rasilimali za Tanzania kuinufaisha Tanzania, mpinzani wenu ni CCM kama itafanya vibaya mbele za Wananchi,Kosa hilohilo lilifanywa na Chadema ambao waligombana na Zitto na Dkt Slaa huku adui yao akiwa ni CCM ambayo ilionekana kuanza kukataliwa kwa Wananchi,kwa sasa tuna tatizo kubwa la mfumuko wa bei vitu vinavyowagusa Wananchi moja kwa moja badala yake Zitto Mambo ya mwaka 2017 na anamtaja mtu aliyekufa!! Sasa ataamka aje akurekebishie mfumuko wa bei uliopo hii leo!!?

Tukiwa kwenye mfumuko wa bei hakuna atakayemsema Hayati Rais Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi kama akina Zitto wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa hali ya chini,masikini ambao daima walimuona Rais Magufuli mkombozi wao,wakati huu wa maisha magumu vitu vinapanda bei ukimshambulia Rais Magufuli, Kwa namna mbalimbali,ni kujimaliza kisiasa,kifikra,kiutamaduni na kimaendeleo.

Kundi la Wananchi masikini walioneemeka au kupata ahueni kijamii,kiuchumi na kisiasa katika awamu ya Rais Magufuli daima watamchukia mtu ambae anamsema Rais Magufuli ambae kwao alikuwa mkombozi,Kitendo cha Rais Magufuli kuleta nidhamu serikalini tayari ni neema maana watu watahudumiwa ipasavyo na hakika watu walihudumiwa ipasavyo,Umeme ulikuwa stable na Umeme usipokatika unatumika na watu wote na ukiwa stable faida twapata sote,Aliwaachia wamachinga uhuru wa kutengeneza vipato vyao vya halali na wakapata hela kwa kazi za halali kwa hakika Wamachinga walimpenda Rais Magufuli kwa hilo,na kwa ujumla hatuwezi kusema hakuna alieneemeka kiuchumi!.Rais Magufuli alijenga Reli ya Umeme kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alijenga masoko Kila Wilaya Tanzania mzima kwa faida ya Watanzania,sio kwa faida yake,Rais Magufuli alijenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alihamisha makao makuu ya Nchi kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa faida ya Watanzania.

Leo atanangwa juu ya covid lakini twende ndani turudi nje mzee alifanya maamuzi sahihi juu ya lile suala,hilo gonjwa la corona tutaishinalo kama mafua na ukimwi tu hata huko nje sasa wanaishinalo,Rais Magufuli hakukataa chanjo ila alitaka uhakika wa chanjo hizo kama ni salama kwanza,hii ni kwa faida ya Watanzania,yeye kama mkemia nae alitaka kujiridhisha,sio kupokea tu,Kinachofanyika sasa ni kutoa ile imani ya utendaji wa Rais Magufuli ndani ya akili za Watanzania!,maana watu wanaamini ule utendaji wake kama ndio kiongozi anavyopaswa kuwa na waliusubiri uongozi kama huo kwa muda mrefu,sasa viongozi wa sasa wanajua tutawahukumu kwa kumtumia magufuli kama mfano!..Mfano suala la upatikanaji wa umeme lilivyoanza kusuasua ni mashahidi tosha watu walianza kupiga kelele!,na hii ni kwa sababu tulishazoeshwa huduma hii kutokuwa ya kusuasua katika Uongozi wa Rais Magufuli.

Nimalizie kwa kusema kwamba kuna watu wanachanganya kati ya Uzalendo na Uchawa,Uchawa siyo Uzalendo japo una tabia za kufanana. Awamu ya Tano kulikuwa na wazalendo wengi unaweza ukarejea viongozi kama Balozi Humprey Polepole na wengineo ila hivi sasa kuna chawa wengi,unaweza kufanya utafiti wako binafsi,Pumzika kwa amani Rais John Pombe Magufuli,Mzeee JPM apumzike kwa amani,kuna wahuni wanatembelea barabara zako ulizojenga,wengine wanapanda ndege zako ulizonunua na bado wanasema haukufanya chochote,enzi zako baba unga wa dona uliuzwa tsh. 800 kwa kilo moja,hivi sasa unga dona ni tsh 1800 hadi 2,200 kwa kilo moja,kazi inaendelea ila ikiendelea hivi kwenye uchaguzi ujao tutafika tumechoka, nimalizie kwa kusema,Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu Rais Magufuli,awe alikuziba mdomo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,niwatakie heri ya mwaka mpya 2023.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Ni Kweli, wamelipwa sana watu 7000 Kwa thread za kumtukana.

Bt pia Kila walipotuibia walimtaja Ili ajue kuwa wanaiba na hawezi wazuia kuiba.

Mungu yupo atatulipia. Aamen.
 
Yaani ukiwaona wanavyogharaghara kutafuta credibility kwa wananchi hadi huruma. Eti wanajigamba kupambana kumalizia miradi aliyoacha JPM na hadi leo hamna kitu, ninaamini kama JPM angelikuwa hai hadi hii leo tar26/12/2022 yafuatayo yangeishakuwa tayari

1. Meli mpya ya ghorofa 5 ingekuwa imeanza kazi

2. SGR Dar-Dodoma ingekuwa imeanza kazi miezi 6 nyuma.

3. Bwawa la umeme lingekuwa tayari na umeme tayari miezi 5 nyuma.

4. Uwanja wa mpira mkubwa Dodoma ungekuwa tayari

5. Daraja la busisi lingekuwa linàkamilika sahivi

Na kwasababu alikuwa mbunifu na hapoi, leo hii yeye angeshaongeza vitu vingine vipya na vikubwa kama vile

1. Njia 8 Dar-Chalinze ingekuwa tayari

2. Airbus zingekuwa 3 tayari na Air Tz ingekuwa na ndege 15+

3. Ujenzi wa daraja Dar-Znzbr ungeshaanza

4. Tanzania nzima ingekuwa inawaka umeme

5. Nauli ya SGR dar-Moro ingekuwa 10,000 tu.

6. Kusingetokea mgao wa umeme wala kuwepo njaa Tz.

Kiufupi Tz ingekuwa ni kati ya mataifa 5 makubwa Afrika

Sasa hawa wa leo wako tu wanapiga mark time hata ile aliyoiacha yenyewe inawatoa jasho hadi kwenye meno na bado wanamdhihaki. Jpm alikuwa ni zaidi ya mtu na daima alikuwa mbele ya muda sana. Hawa wa leo wako nyuma kama zile saa za moritima za miaka ile ya 1970/80
 
Magu ndo TURUFU ya UCHAGUZI wowote wa urais ujao.

Apewe tuzo na Atambuliwe kama MZALENDO,MPAMBANAJI, RISK TAKER, Mwenye UTHUBUTU, asiyetunza SIRI ovu Kwa maslah ya watu wake.

Aaamen.
Nape na january watateseka sana wakisikia hivyo
 
Yaani ukiwaona wanavyogharaghara kutafuta credibility kwa wananchi hadi huruma. Eti wanajigamba kupambana kumalizia miradi aliyoacha JPM na hadi leo hamna kitu, ninaamini kama JPM angelikuwa hai hadi hii leo tar26/12/2022 yafuatayo yangeishakuwa tayari

1. Meli mpya ya ghorofa 5 ingekuwa imeanza kazi

2. SGR Dar-Dodoma ingekuwa imeanza kazi miezi 6 nyuma.

3. Bwawa la umeme lingekuwa tayari na umeme tayari miezi 5 nyuma.

4. Uwanja wa mpira mkubwa Dodoma ungekuwa tayari

5. Daraja la busisi lingekuwa linàkamilika sahivi

Na kwasababu alikuwa mbunifu na hapoi, leo hii yeye angeshaongeza vitu vingine vipya na vikubwa kama vile

1. Njia 8 Dar-Chalinze ingekuwa tayari

2. Airbus zingekuwa 3 tayari na Air Tz ingekuwa na ndege 15+

3. Ujenzi wa daraja Dar-Znzbr ungeshaanza

4. Tanzania nzima ingekuwa inawaka umeme

5. Nauli ya SGR dar-Moro ingekuwa 10,000 tu.

6. Kusingetokea mgao wa umeme wala kuwepo njaa Tz.

Kiufupi Tz ingekuwa ni kati ya mataifa 5 makubwa Afrika

Sasa hawa wa leo wako tu wanapiga mark time hata ile aliyoiacha yenyewe inawatoa jasho hadi kwenye meno na bado wanamdhihaki. Jpm alikuwa ni zaidi ya mtu na daima alikuwa mbele ya muda sana. Hawa wa leo wako nyuma kama zile saa za moritima za miaka ile ya 1970/80
Hata wewe uko mbele ya muda mkuu, kung’amua yote hayo katikati ya msitu wa propaganda hasi dhidi ya shujaa wa Africa ni dhahiri. Nilichojifunza ni kuapply mentality yake kwenye kila kitu changu. Fear is to be kept behind to push me forward kama Legend Magufuli.
 
Hata wewe uko mbele ya muda mkuu, kung’amua yote hayo katikati ya msitu wa propaganda hasi dhidi ya shujaa wa Africa ni dhahiri. Nilichojifunza ni kuapply mentality yake kwenye kila kitu changu. Fear is to be kept behind to push me forward kama Legend Magufuli.
R.I.P Jpm ..hii yote ni Jpm Mkuu!
 
Magufuli alikuwa mwongo, mwizi, muuaji. Alikuwa anatugawa watanzania kiitikadi, kikanda na kikabila. Utawala wake ulikuwa wa kidikteta ambapo hakuheshimu katiba aliyoapa kuilinda. Vutendo vyake vya kulitawala Bunge na kuitishia Mahakama ilikuwa ni UHAYAWANI wa kiwango cha juu kabisa.

Magufuli anaingia ukurasa mmoja wa watawala makatili pamoja na Iddi Amin Dada, Adolph Hitler, Nguema, Mobutu, Bokassa na Benito Mussolini.

Kwa hiyo hakuna la ajabu mtu huyu kutajwa sana mwaka 2022

Tanzania itamkumbuka siku zote kwa unyama dhidi ya raia wake
 
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na awamu zijazo na hata kwenye uchaguzi ujao,alikuwa ni mmoja wa viongozi wachache sana wazalendo wa kweli kwa wananchi wanyonge Nchi nzima ya Tanzania.

Ni hulka ya binadamu,tunapokuwa mbele ya Watanzania,kama kiongozi nifanyeje ili nami wanione bora kama Rais John Pombe Magufuli au niwe bora zaidi yake,je nimtukane au nitende kama yeye,kwa hivyo basi Rais Magufuli amefanyika kuwa kipimio cha wengi kwa kihaya wanasema Rais Magufuli amefanyika kuwa "Measuring stick".

Kila kiongozi lazima atamtaja ili kujipima mbele za Wananchi wa Tanzania,Kila kiongozi anaetaka kukanekti na wananchi basi lazima amtaje Rais Magufuli ili kujiweka sawa kwenye uongozi na Wananchi waweze kumuelewa,bila kutaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi hawawezi kukuelewa.

Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu,awe alikuziba mdogo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,sisi wauza mchicha tunasubiria reli ya Mwendokasi SGR iishe tukauze mchicha toka Dodoma na Morogoro tupeleke Dar es Salaam,sijui nauli itakuwa shilingi ngapi.

Naamini sisi wauza mchicha tutapewa 7,000 kama tulivyopewa kipaumbele na Hayati Rais Magufuli,naamini wanyonge wanamtaja kila siku wakati wa kununua mchele kilo moja 3,200 mle ugali ndugu zangu kilo 2,200 sasa shida maharage kilo 3,000 nayo imekuwa mboga ya anasa.

Hayati Rais Magufuli ameendelea kutikisa mwaka huu 2022 kwa sababu moja tu hakuna mtu mwenye sifa kama zake kiutawala,hili nalisema kama mbobezi katika masuala ya Uongozi,Rais John Pombe Magufuli alikuwa Champion katika mambo mengi na kila mwananchi analijua hilo.

Hii inawapa wakati mgumu viongozi wengi wanapokuwa mbele za Wananchi hivi sasa,useme nini wananchi wakuelewe,maana tayari Wananchi wana mfano wao wa kiongozi bora,wana performance appraisal ya kiongozi wao bora,nae ni John Pombe Joseph Magufuli.

Mtu ambae amefanya kazi na watanzania bara miaka zaidi ya 20 akiwa ni Field Public Leader tangu akiwa Naibu Waziri miaka ya 1995 kisha Waziri kamili katika wizara zaidi ya tano kwa miaka ishirini na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Faida na hasara za kulitaja jina la Rais Magufuli.
Faida

Katika Uongozi wa Rais Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii na miundo mbinu ambayo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, hivyo basi utakapo fanya jambo jema kwenye huduma za jamii au miundo mbinu na ukalitaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi watakuelewa sana.

Hayati Rais Magufuli alileta elimu bure,aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka sasa,hii ni faida aliyoleta Rais Magufuli.Rais Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa,na wakakata tamaa,Wananchi walifurahi Rais Magufuli alipokwenda na kutatua matatizo yao pale pale,hiyo ilikuwa ni karama ya Uongozi aliyokuwa nayo Rais Magufuli.

Magufuli alilinda rasilimali za nchi,tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege,unatarajia Watanzania wengi tungemchukia,jibu ni hapana, Watanzania walimpenda Rais Magufuli kwa sababu Wanyama waliongezeka mbugani badala ya kupungua na takwimu zinaonyesha,Rais Magufuli alijenga ukuta Mererani kuzuia kuibiwa kwa madini ya Tanzanite,hii hakuifanya kwa ajili yake bali aliifanya kwa ajili ya Watanzania,je unatarajia Watanzania wamchukie!?

Rais Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya biashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao.je unatarajia Watanzania wangemchukia Watanzania walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri hapana Rais Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji,wala rushwa,waonea wanyonge, Mafisadi na walanchi.

-Hasara

Unapotaja jina la Rais Magufuli kwa chuki binafsi za udini,ukabila au itikadi hii ni hasara kwako,adui yako si Magufuli,kwa wapinzani adui yenu ufisadi, uongozi mbovu,mfumuko wa bei kwenye bidhaa,na kutotumia vyema rasilimali za Tanzania kuinufaisha Tanzania.

Mpinzani wenu ni CCM kama itafanya vibaya mbele za Wananchi,Kosa hilohilo lilifanywa na Chadema ambao waligombana na Zitto na Dkt Slaa huku adui yao akiwa ni CCM ambayo ilionekana kuanza kukataliwa kwa Wananchi,

Kwa sasa tuna tatizo kubwa la mfumuko wa bei vitu vinavyowagusa Wananchi moja kwa moja badala yake Zitto Mambo ya mwaka 2017 na anamtaja mtu aliyekufa!! Sasa ataamka aje akurekebishie mfumuko wa bei uliopo hii leo!!?

Tukiwa kwenye mfumuko wa bei hakuna atakayemsema Hayati Rais Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi kama akina Zitto wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa hali ya chini, masikini ambao daima walimuona Rais Magufuli mkombozi wao.

Wakati huu wa maisha magumu vitu vinapanda bei ukimshambulia Rais Magufuli, Kwa namna mbalimbali,ni kujimaliza kisiasa,kifikra,kiutamaduni na kimaendeleo.

Kundi la Wananchi masikini walioneemeka au kupata ahueni kijamii,kiuchumi na kisiasa katika awamu ya Rais Magufuli daima watamchukia mtu ambae anamsema Rais Magufuli ambae kwao alikuwa mkombozi.

Kitendo cha Rais Magufuli kuleta nidhamu serikalini tayari ni neema maana watu watahudumiwa ipasavyo na hakika watu walihudumiwa ipasavyo, Umeme ulikuwa stable na Umeme usipokatika unatumika na watu wote na ukiwa stable faida twapata sote.

Aliwaachia wamachinga uhuru wa kutengeneza vipato vyao vya halali na wakapata hela kwa kazi za halali kwa hakika Wamachinga walimpenda Rais Magufuli kwa hilo,na kwa ujumla hatuwezi kusema hakuna alieneemeka kiuchumi!

Rais Magufuli alijenga Reli ya Umeme kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alijenga masoko Kila Wilaya Tanzania mzima kwa faida ya Watanzania,sio kwa faida yake,Rais Magufuli alijenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alihamisha makao makuu ya Nchi kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa faida ya Watanzania.

Leo atanangwa juu ya covid lakini twende ndani turudi nje mzee alifanya maamuzi sahihi juu ya lile suala,hilo gonjwa la corona tutaishinalo kama mafua na ukimwi tu hata huko nje sasa wanaishinalo.

Rais Magufuli hakukataa chanjo ila alitaka uhakika wa chanjo hizo kama ni salama kwanza,hii ni kwa faida ya Watanzania,yeye kama mkemia nae alitaka kujiridhisha,sio kupokea tu.

Kinachofanyika sasa ni kutoa ile imani ya utendaji wa Rais Magufuli ndani ya akili za Watanzania!,maana watu wanaamini ule utendaji wake kama ndio kiongozi anavyopaswa kuwa na waliusubiri uongozi kama huo kwa muda mrefu.

Sasa viongozi wa sasa wanajua tutawahukumu kwa kumtumia magufuli kama mfano!..Mfano suala la upatikanaji wa umeme lilivyoanza kusuasua ni mashahidi tosha watu walianza kupiga kelele!,na hii ni kwa sababu tulishazoeshwa huduma hii kutokuwa ya kusuasua katika Uongozi wa Rais Magufuli.

Nimalizie kwa kusema kwamba kuna watu wanachanganya kati ya Uzalendo na Uchawa,Uchawa siyo Uzalendo japo una tabia za kufanana. Awamu ya Tano kulikuwa na wazalendo wengi unaweza ukarejea viongozi kama Balozi Humprey Polepole na wengineo ila hivi sasa kuna chawa wengi.

Unaweza kufanya utafiti wako binafsi,Pumzika kwa amani Rais John Pombe Magufuli,Mzeee JPM apumzike kwa amani,kuna wahuni wanatembelea barabara zako ulizojenga,wengine wanapanda ndege zako ulizonunua na bado wanasema haukufanya chochote.

Enzi zako baba unga wa dona uliuzwa tsh. 800 kwa kilo moja,hivi sasa unga dona ni tsh 1800 hadi 2,200 kwa kilo moja,kazi inaendelea ila ikiendelea hivi kwenye uchaguzi ujao tutafika tumechoka, nimalizie kwa kusema,Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu Rais Magufuli,awe alikuziba mdomo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,niwatakie heri ya mwaka mpya 2023.

Nikiishia hapa, mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Akiwa madarakani alikuwa akitajwa mara 1000 kwa siku.
 
🐒🐒🐒
16409521842520.jpg
 
Magufuli alikuwa mwongo, mwizi, muuaji. Alikuwa anatugawa watanzania kiitikadi, kikanda na kikabila. Utawala wake ulikuwa wa kidikteta ambapo hakuheshimu katiba aliyoapa kuilinda. Vutendo vyake vya kulitawala Bunge na kuitishia Mahakama ilikuwa ni UHAYAWANI wa kiwango cha juu kabisa.

Magufuli anaingia ukurasa mmoja wa watawala makatili pamoja na Iddi Amin Dada, Adolph Hitler, Nguema, Mobutu, Bokassa na Benito Mussolini.

Kwa hiyo hakuna la ajabu mtu huyu kutajwa sana mwaka 2022

Tanzania itamkumbuka siku zote kwa unyama dhidi ya raia wake
Mimi naungana na wewe ktk hoja.
Nchi hii tangu tupate uhuru tumekuwa tunatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Tatizo magufuli aliteka vyombo vya habari na kuvifanya viwe vinamsifu yeye tu, propaganda za uwongo.
Nchi hii tangu 61 tumejenga barabara, na tutaendelea kujenga. Tulinunua ndege, hapo katikati mafisadi (maccm) wakafilisi shirika, tutaendelea kununua ndege miaka inavyokwenda. Tulijenga reli, tunajenga na tutaendelea kujenga. Tulijenga mabwawa ya umeme- kidatu, mtera, kihansi etc, na tutaendelea kujenga mahitaji yatakavyoongezeka. Pamoja na miundombinu mingine- mashule, mahospitali, miradi ya maji, viwanda vya ndege nk. Wakati tunatekeleza hayo miaka iliyopita uhuru wa raia haukutishiwa kama kipindi cha magufuli. Hatukuwahi kusikia maiti zinaokotwa fukweni zikiwa kwenye viroba. Hatukuwahi kuona watu wanapotea. Ben saanane alipoonyesha wasiwasi na phd ya magufuli alipotea. Hatukuwahi kuona mbunge anapigwa risasi sababu ya ukosoaji wake dhidi ya rais. Hivi polisi wamefikia wapi ktk kuchunguza tukio la Lissu kupigwa risasi? Ukweli hakuna uchumguzi wowote iliyofanywa. Hatukuwahi kuona matajiri wananyang'anywa fedha zao- bureau de change etc. Kuhusu vitu kupanda bei sijui magufuli angezuiaje. Sanasana angeendeleza sera mbovu tu kwamba mkulima azalishe mchele kwa gharama ya say sh. 2,500/kg, halafu uzuie mchele usiuzwe sh. 3,200/kg sokoni. Nikutaka kujipatia sifa za kijinga, na zenye madhara mbeleni.
Kuhusu kupambana na corona, watu wasipende kumpa sifa za uwongo. Hakuna chochote alichofanya kukabiliana na corona, sanasana alisababisha hata wagonjwa ambapo wangewezapona wakapoteza maisha. Ile dawa aliyomtuma profesa kabudi akailete Madagascar ilisaidia nini?
Zile trillion 360 za makinikia Kuna mtu aliona hata senti moja? Uwongo ilikuwa mwingi- million 50 Kila Kijiji kuna kiji kilipata hata 100?
CAG professor Assad aliposema 1.5t haionekani nini kilipata?
'Magufuli alikuwa mwongo, mwizi, muuaji. Alikuwa anatugawa watanzania kiitikadi, kikanda na kikabila. Utawala wake ulikuwa wa kidikteta ambapo hakuheshimu katiba aliyoapa kuilinda. Vutendo vyake vya kulitawala Bunge na kuitishia Mahakama ilikuwa ni UHAYAWANI wa kiwango cha juu kabisa'.
Huo ndio ukweli ambao wanafiki walionufaika na utawala ule hawataukiri. Ni uwongo ambao watu 'wajinga' hawautambui. Kuna watu wakisikia mtu anasema waTanzania ni wajinga, anasema ni matusi. Sio- ujinga ni kukosa maarifa, uelewa ktk jambo fulani.
 
Mimi naungana na wewe ktk hoja.
Nchi hii tangu tupate uhuru tumekuwa tunatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Tatizo magufuli aliteka vyombo vya habari na kuvifanya viwe vinamsifu yeye tu, propaganda za uwongo.
Nchi hii tangu 61 tumejenga barabara, na tutaendelea kujenga. Tulinunua ndege, hapo katikati mafisadi (maccm) wakafilisi shirika, tutaendelea kununua ndege miaka inavyokwenda. Tulijenga reli, tunajenga na tutaendelea kujenga. Tulijenga mabwawa ya umeme- kidatu, mtera, kihansi etc, na tutaendelea kujenga mahitaji yatakavyoongezeka. Pamoja na miundombinu mingine- mashule, mahospitali, miradi ya maji, viwanda vya ndege nk. Wakati tunatekeleza hayo miaka iliyopita uhuru wa raia haukutishiwa kama kipindi cha magufuli. Hatukuwahi kusikia maiti zinaokotwa fukweni zikiwa kwenye viroba. Hatukuwahi kuona watu wanapotea. Ben saanane alipoonyesha wasiwasi na phd ya magufuli alipotea. Hatukuwahi kuona mbunge anapigwa risasi sababu ya ukosoaji wake dhidi ya rais. Hivi polisi wamefikia wapi ktk kuchunguza tukio la Lissu kupigwa risasi? Ukweli hakuna uchumguzi wowote iliyofanywa. Hatukuwahi kuona matajiri wananyang'anywa fedha zao- bureau de change etc. Kuhusu vitu kupanda bei sijui magufuli angezuiaje. Sanasana angeendeleza sera mbovu tu kwamba mkulima azalishe mchele kwa gharama ya say sh. 2,500/kg, halafu uzuie mchele usiuzwe sh. 3,200/kg sokoni. Nikutaka kujipatia sifa za kijinga, na zenye madhara mbeleni.
Kuhusu kupambana na corona, watu wasipende kumpa sifa za uwongo. Hakuna chochote alichofanya kukabiliana na corona, sanasana alisababisha hata wagonjwa ambapo wangewezapona wakapoteza maisha. Ile dawa aliyomtuma profesa kabudi akailete Madagascar ilisaidia nini?
Zile trillion 360 za makinikia Kuna mtu aliona hata senti moja? Uwongo ilikuwa mwingi- million 50 Kila Kijiji kuna kiji kilipata hata 100?
CAG professor Assad aliposema 1.5t haionekani nini kilipata?
'Magufuli alikuwa mwongo, mwizi, muuaji. Alikuwa anatugawa watanzania kiitikadi, kikanda na kikabila. Utawala wake ulikuwa wa kidikteta ambapo hakuheshimu katiba aliyoapa kuilinda. Vutendo vyake vya kulitawala Bunge na kuitishia Mahakama ilikuwa ni UHAYAWANI wa kiwango cha juu kabisa'.
Huo ndio ukweli ambao wanafiki walionufaika na utawala ule hawataukiri. Ni uwongo ambao watu 'wajinga' hawautambui. Kuna watu wakisikia mtu anasema waTanzania ni wajinga, anasema ni matusi. Sio- ujinga ni kukosa maarifa, uelewa ktk jambo fulani.
Ufafanuzi mujarab kabisa, asante
 
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na awamu zijazo na hata kwenye uchaguzi ujao,alikuwa ni mmoja wa viongozi wachache sana wazalendo wa kweli kwa wananchi wanyonge Nchi nzima ya Tanzania.

Ni hulka ya binadamu,tunapokuwa mbele ya Watanzania,kama kiongozi nifanyeje ili nami wanione bora kama Rais John Pombe Magufuli au niwe bora zaidi yake,je nimtukane au nitende kama yeye,kwa hivyo basi Rais Magufuli amefanyika kuwa kipimio cha wengi kwa kihaya wanasema Rais Magufuli amefanyika kuwa "Measuring stick".

Kila kiongozi lazima atamtaja ili kujipima mbele za Wananchi wa Tanzania,Kila kiongozi anaetaka kukanekti na wananchi basi lazima amtaje Rais Magufuli ili kujiweka sawa kwenye uongozi na Wananchi waweze kumuelewa,bila kutaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi hawawezi kukuelewa.

Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu,awe alikuziba mdogo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,sisi wauza mchicha tunasubiria reli ya Mwendokasi SGR iishe tukauze mchicha toka Dodoma na Morogoro tupeleke Dar es Salaam,sijui nauli itakuwa shilingi ngapi.

Naamini sisi wauza mchicha tutapewa 7,000 kama tulivyopewa kipaumbele na Hayati Rais Magufuli,naamini wanyonge wanamtaja kila siku wakati wa kununua mchele kilo moja 3,200 mle ugali ndugu zangu kilo 2,200 sasa shida maharage kilo 3,000 nayo imekuwa mboga ya anasa.

Hayati Rais Magufuli ameendelea kutikisa mwaka huu 2022 kwa sababu moja tu hakuna mtu mwenye sifa kama zake kiutawala,hili nalisema kama mbobezi katika masuala ya Uongozi,Rais John Pombe Magufuli alikuwa Champion katika mambo mengi na kila mwananchi analijua hilo.

Hii inawapa wakati mgumu viongozi wengi wanapokuwa mbele za Wananchi hivi sasa,useme nini wananchi wakuelewe,maana tayari Wananchi wana mfano wao wa kiongozi bora,wana performance appraisal ya kiongozi wao bora,nae ni John Pombe Joseph Magufuli.

Mtu ambae amefanya kazi na watanzania bara miaka zaidi ya 20 akiwa ni Field Public Leader tangu akiwa Naibu Waziri miaka ya 1995 kisha Waziri kamili katika wizara zaidi ya tano kwa miaka ishirini na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Faida na hasara za kulitaja jina la Rais Magufuli.
Faida

Katika Uongozi wa Rais Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii na miundo mbinu ambayo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, hivyo basi utakapo fanya jambo jema kwenye huduma za jamii au miundo mbinu na ukalitaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi watakuelewa sana.

Hayati Rais Magufuli alileta elimu bure,aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka sasa,hii ni faida aliyoleta Rais Magufuli.Rais Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa,na wakakata tamaa,Wananchi walifurahi Rais Magufuli alipokwenda na kutatua matatizo yao pale pale,hiyo ilikuwa ni karama ya Uongozi aliyokuwa nayo Rais Magufuli.

Magufuli alilinda rasilimali za nchi,tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege,unatarajia Watanzania wengi tungemchukia,jibu ni hapana, Watanzania walimpenda Rais Magufuli kwa sababu Wanyama waliongezeka mbugani badala ya kupungua na takwimu zinaonyesha,Rais Magufuli alijenga ukuta Mererani kuzuia kuibiwa kwa madini ya Tanzanite,hii hakuifanya kwa ajili yake bali aliifanya kwa ajili ya Watanzania,je unatarajia Watanzania wamchukie!?

Rais Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya biashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao.je unatarajia Watanzania wangemchukia Watanzania walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri hapana Rais Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji,wala rushwa,waonea wanyonge, Mafisadi na walanchi.

-Hasara

Unapotaja jina la Rais Magufuli kwa chuki binafsi za udini,ukabila au itikadi hii ni hasara kwako,adui yako si Magufuli,kwa wapinzani adui yenu ufisadi, uongozi mbovu,mfumuko wa bei kwenye bidhaa,na kutotumia vyema rasilimali za Tanzania kuinufaisha Tanzania.

Mpinzani wenu ni CCM kama itafanya vibaya mbele za Wananchi,Kosa hilohilo lilifanywa na Chadema ambao waligombana na Zitto na Dkt Slaa huku adui yao akiwa ni CCM ambayo ilionekana kuanza kukataliwa kwa Wananchi,

Kwa sasa tuna tatizo kubwa la mfumuko wa bei vitu vinavyowagusa Wananchi moja kwa moja badala yake Zitto Mambo ya mwaka 2017 na anamtaja mtu aliyekufa!! Sasa ataamka aje akurekebishie mfumuko wa bei uliopo hii leo!!?

Tukiwa kwenye mfumuko wa bei hakuna atakayemsema Hayati Rais Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi kama akina Zitto wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa hali ya chini, masikini ambao daima walimuona Rais Magufuli mkombozi wao.

Wakati huu wa maisha magumu vitu vinapanda bei ukimshambulia Rais Magufuli, Kwa namna mbalimbali,ni kujimaliza kisiasa,kifikra,kiutamaduni na kimaendeleo.

Kundi la Wananchi masikini walioneemeka au kupata ahueni kijamii,kiuchumi na kisiasa katika awamu ya Rais Magufuli daima watamchukia mtu ambae anamsema Rais Magufuli ambae kwao alikuwa mkombozi.

Kitendo cha Rais Magufuli kuleta nidhamu serikalini tayari ni neema maana watu watahudumiwa ipasavyo na hakika watu walihudumiwa ipasavyo, Umeme ulikuwa stable na Umeme usipokatika unatumika na watu wote na ukiwa stable faida twapata sote.

Aliwaachia wamachinga uhuru wa kutengeneza vipato vyao vya halali na wakapata hela kwa kazi za halali kwa hakika Wamachinga walimpenda Rais Magufuli kwa hilo,na kwa ujumla hatuwezi kusema hakuna alieneemeka kiuchumi!

Rais Magufuli alijenga Reli ya Umeme kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alijenga masoko Kila Wilaya Tanzania mzima kwa faida ya Watanzania,sio kwa faida yake,Rais Magufuli alijenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alihamisha makao makuu ya Nchi kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa faida ya Watanzania.

Leo atanangwa juu ya covid lakini twende ndani turudi nje mzee alifanya maamuzi sahihi juu ya lile suala,hilo gonjwa la corona tutaishinalo kama mafua na ukimwi tu hata huko nje sasa wanaishinalo.

Rais Magufuli hakukataa chanjo ila alitaka uhakika wa chanjo hizo kama ni salama kwanza,hii ni kwa faida ya Watanzania,yeye kama mkemia nae alitaka kujiridhisha,sio kupokea tu.

Kinachofanyika sasa ni kutoa ile imani ya utendaji wa Rais Magufuli ndani ya akili za Watanzania!,maana watu wanaamini ule utendaji wake kama ndio kiongozi anavyopaswa kuwa na waliusubiri uongozi kama huo kwa muda mrefu.

Sasa viongozi wa sasa wanajua tutawahukumu kwa kumtumia magufuli kama mfano!..Mfano suala la upatikanaji wa umeme lilivyoanza kusuasua ni mashahidi tosha watu walianza kupiga kelele!,na hii ni kwa sababu tulishazoeshwa huduma hii kutokuwa ya kusuasua katika Uongozi wa Rais Magufuli.

Nimalizie kwa kusema kwamba kuna watu wanachanganya kati ya Uzalendo na Uchawa,Uchawa siyo Uzalendo japo una tabia za kufanana. Awamu ya Tano kulikuwa na wazalendo wengi unaweza ukarejea viongozi kama Balozi Humprey Polepole na wengineo ila hivi sasa kuna chawa wengi.

Unaweza kufanya utafiti wako binafsi,Pumzika kwa amani Rais John Pombe Magufuli,Mzeee JPM apumzike kwa amani,kuna wahuni wanatembelea barabara zako ulizojenga,wengine wanapanda ndege zako ulizonunua na bado wanasema haukufanya chochote.

Enzi zako baba unga wa dona uliuzwa tsh. 800 kwa kilo moja,hivi sasa unga dona ni tsh 1800 hadi 2,200 kwa kilo moja,kazi inaendelea ila ikiendelea hivi kwenye uchaguzi ujao tutafika tumechoka, nimalizie kwa kusema,Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu Rais Magufuli,awe alikuziba mdomo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,niwatakie heri ya mwaka mpya 2023.

Nikiishia hapa, mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.

Inferiority complex ni mbaya Sana.
 
Magu ndo TURUFU ya UCHAGUZI wowote wa urais ujao.

Apewe tuzo na Atambuliwe kama MZALENDO,MPAMBANAJI, RISK TAKER, Mwenye UTHUBUTU, asiyetunza SIRI ovu Kwa maslah ya watu wake.

Aaamen.
Absolutely.
 
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na awamu zijazo na hata kwenye uchaguzi ujao,alikuwa ni mmoja wa viongozi wachache sana wazalendo wa kweli kwa wananchi wanyonge Nchi nzima ya Tanzania.

Ni hulka ya binadamu,tunapokuwa mbele ya Watanzania,kama kiongozi nifanyeje ili nami wanione bora kama Rais John Pombe Magufuli au niwe bora zaidi yake,je nimtukane au nitende kama yeye,kwa hivyo basi Rais Magufuli amefanyika kuwa kipimio cha wengi kwa kihaya wanasema Rais Magufuli amefanyika kuwa "Measuring stick".

Kila kiongozi lazima atamtaja ili kujipima mbele za Wananchi wa Tanzania,Kila kiongozi anaetaka kukanekti na wananchi basi lazima amtaje Rais Magufuli ili kujiweka sawa kwenye uongozi na Wananchi waweze kumuelewa,bila kutaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi hawawezi kukuelewa.

Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu,awe alikuziba mdogo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,sisi wauza mchicha tunasubiria reli ya Mwendokasi SGR iishe tukauze mchicha toka Dodoma na Morogoro tupeleke Dar es Salaam,sijui nauli itakuwa shilingi ngapi.

Naamini sisi wauza mchicha tutapewa 7,000 kama tulivyopewa kipaumbele na Hayati Rais Magufuli,naamini wanyonge wanamtaja kila siku wakati wa kununua mchele kilo moja 3,200 mle ugali ndugu zangu kilo 2,200 sasa shida maharage kilo 3,000 nayo imekuwa mboga ya anasa.

Hayati Rais Magufuli ameendelea kutikisa mwaka huu 2022 kwa sababu moja tu hakuna mtu mwenye sifa kama zake kiutawala,hili nalisema kama mbobezi katika masuala ya Uongozi,Rais John Pombe Magufuli alikuwa Champion katika mambo mengi na kila mwananchi analijua hilo.

Hii inawapa wakati mgumu viongozi wengi wanapokuwa mbele za Wananchi hivi sasa,useme nini wananchi wakuelewe,maana tayari Wananchi wana mfano wao wa kiongozi bora,wana performance appraisal ya kiongozi wao bora,nae ni John Pombe Joseph Magufuli.

Mtu ambae amefanya kazi na watanzania bara miaka zaidi ya 20 akiwa ni Field Public Leader tangu akiwa Naibu Waziri miaka ya 1995 kisha Waziri kamili katika wizara zaidi ya tano kwa miaka ishirini na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Faida na hasara za kulitaja jina la Rais Magufuli.
Faida

Katika Uongozi wa Rais Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii na miundo mbinu ambayo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, hivyo basi utakapo fanya jambo jema kwenye huduma za jamii au miundo mbinu na ukalitaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi watakuelewa sana.

Hayati Rais Magufuli alileta elimu bure,aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka sasa,hii ni faida aliyoleta Rais Magufuli.Rais Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa,na wakakata tamaa,Wananchi walifurahi Rais Magufuli alipokwenda na kutatua matatizo yao pale pale,hiyo ilikuwa ni karama ya Uongozi aliyokuwa nayo Rais Magufuli.

Magufuli alilinda rasilimali za nchi,tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege,unatarajia Watanzania wengi tungemchukia,jibu ni hapana, Watanzania walimpenda Rais Magufuli kwa sababu Wanyama waliongezeka mbugani badala ya kupungua na takwimu zinaonyesha,Rais Magufuli alijenga ukuta Mererani kuzuia kuibiwa kwa madini ya Tanzanite,hii hakuifanya kwa ajili yake bali aliifanya kwa ajili ya Watanzania,je unatarajia Watanzania wamchukie!?

Rais Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya biashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao.je unatarajia Watanzania wangemchukia Watanzania walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri hapana Rais Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji,wala rushwa,waonea wanyonge, Mafisadi na walanchi.

-Hasara

Unapotaja jina la Rais Magufuli kwa chuki binafsi za udini,ukabila au itikadi hii ni hasara kwako,adui yako si Magufuli,kwa wapinzani adui yenu ufisadi, uongozi mbovu,mfumuko wa bei kwenye bidhaa,na kutotumia vyema rasilimali za Tanzania kuinufaisha Tanzania.

Mpinzani wenu ni CCM kama itafanya vibaya mbele za Wananchi,Kosa hilohilo lilifanywa na Chadema ambao waligombana na Zitto na Dkt Slaa huku adui yao akiwa ni CCM ambayo ilionekana kuanza kukataliwa kwa Wananchi,

Kwa sasa tuna tatizo kubwa la mfumuko wa bei vitu vinavyowagusa Wananchi moja kwa moja badala yake Zitto Mambo ya mwaka 2017 na anamtaja mtu aliyekufa!! Sasa ataamka aje akurekebishie mfumuko wa bei uliopo hii leo!!?

Tukiwa kwenye mfumuko wa bei hakuna atakayemsema Hayati Rais Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi kama akina Zitto wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa hali ya chini, masikini ambao daima walimuona Rais Magufuli mkombozi wao.

Wakati huu wa maisha magumu vitu vinapanda bei ukimshambulia Rais Magufuli, Kwa namna mbalimbali,ni kujimaliza kisiasa,kifikra,kiutamaduni na kimaendeleo.

Kundi la Wananchi masikini walioneemeka au kupata ahueni kijamii,kiuchumi na kisiasa katika awamu ya Rais Magufuli daima watamchukia mtu ambae anamsema Rais Magufuli ambae kwao alikuwa mkombozi.

Kitendo cha Rais Magufuli kuleta nidhamu serikalini tayari ni neema maana watu watahudumiwa ipasavyo na hakika watu walihudumiwa ipasavyo, Umeme ulikuwa stable na Umeme usipokatika unatumika na watu wote na ukiwa stable faida twapata sote.

Aliwaachia wamachinga uhuru wa kutengeneza vipato vyao vya halali na wakapata hela kwa kazi za halali kwa hakika Wamachinga walimpenda Rais Magufuli kwa hilo,na kwa ujumla hatuwezi kusema hakuna alieneemeka kiuchumi!

Rais Magufuli alijenga Reli ya Umeme kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alijenga masoko Kila Wilaya Tanzania mzima kwa faida ya Watanzania,sio kwa faida yake,Rais Magufuli alijenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alihamisha makao makuu ya Nchi kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa faida ya Watanzania.

Leo atanangwa juu ya covid lakini twende ndani turudi nje mzee alifanya maamuzi sahihi juu ya lile suala,hilo gonjwa la corona tutaishinalo kama mafua na ukimwi tu hata huko nje sasa wanaishinalo.

Rais Magufuli hakukataa chanjo ila alitaka uhakika wa chanjo hizo kama ni salama kwanza,hii ni kwa faida ya Watanzania,yeye kama mkemia nae alitaka kujiridhisha,sio kupokea tu.

Kinachofanyika sasa ni kutoa ile imani ya utendaji wa Rais Magufuli ndani ya akili za Watanzania!,maana watu wanaamini ule utendaji wake kama ndio kiongozi anavyopaswa kuwa na waliusubiri uongozi kama huo kwa muda mrefu.

Sasa viongozi wa sasa wanajua tutawahukumu kwa kumtumia magufuli kama mfano!..Mfano suala la upatikanaji wa umeme lilivyoanza kusuasua ni mashahidi tosha watu walianza kupiga kelele!,na hii ni kwa sababu tulishazoeshwa huduma hii kutokuwa ya kusuasua katika Uongozi wa Rais Magufuli.

Nimalizie kwa kusema kwamba kuna watu wanachanganya kati ya Uzalendo na Uchawa,Uchawa siyo Uzalendo japo una tabia za kufanana. Awamu ya Tano kulikuwa na wazalendo wengi unaweza ukarejea viongozi kama Balozi Humprey Polepole na wengineo ila hivi sasa kuna chawa wengi.

Unaweza kufanya utafiti wako binafsi,Pumzika kwa amani Rais John Pombe Magufuli,Mzeee JPM apumzike kwa amani,kuna wahuni wanatembelea barabara zako ulizojenga,wengine wanapanda ndege zako ulizonunua na bado wanasema haukufanya chochote.

Enzi zako baba unga wa dona uliuzwa tsh. 800 kwa kilo moja,hivi sasa unga dona ni tsh 1800 hadi 2,200 kwa kilo moja,kazi inaendelea ila ikiendelea hivi kwenye uchaguzi ujao tutafika tumechoka, nimalizie kwa kusema,Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu Rais Magufuli,awe alikuziba mdomo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,niwatakie heri ya mwaka mpya 2023.

Nikiishia hapa, mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
No research no right to speak
 
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na awamu zijazo na hata kwenye uchaguzi ujao,alikuwa ni mmoja wa viongozi wachache sana wazalendo wa kweli kwa wananchi wanyonge Nchi nzima ya Tanzania.

Ni hulka ya binadamu,tunapokuwa mbele ya Watanzania,kama kiongozi nifanyeje ili nami wanione bora kama Rais John Pombe Magufuli au niwe bora zaidi yake,je nimtukane au nitende kama yeye,kwa hivyo basi Rais Magufuli amefanyika kuwa kipimio cha wengi kwa kihaya wanasema Rais Magufuli amefanyika kuwa "Measuring stick".

Kila kiongozi lazima atamtaja ili kujipima mbele za Wananchi wa Tanzania,Kila kiongozi anaetaka kukanekti na wananchi basi lazima amtaje Rais Magufuli ili kujiweka sawa kwenye uongozi na Wananchi waweze kumuelewa,bila kutaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi hawawezi kukuelewa.

Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu,awe alikuziba mdogo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,sisi wauza mchicha tunasubiria reli ya Mwendokasi SGR iishe tukauze mchicha toka Dodoma na Morogoro tupeleke Dar es Salaam,sijui nauli itakuwa shilingi ngapi.

Naamini sisi wauza mchicha tutapewa 7,000 kama tulivyopewa kipaumbele na Hayati Rais Magufuli,naamini wanyonge wanamtaja kila siku wakati wa kununua mchele kilo moja 3,200 mle ugali ndugu zangu kilo 2,200 sasa shida maharage kilo 3,000 nayo imekuwa mboga ya anasa.

Hayati Rais Magufuli ameendelea kutikisa mwaka huu 2022 kwa sababu moja tu hakuna mtu mwenye sifa kama zake kiutawala,hili nalisema kama mbobezi katika masuala ya Uongozi,Rais John Pombe Magufuli alikuwa Champion katika mambo mengi na kila mwananchi analijua hilo.

Hii inawapa wakati mgumu viongozi wengi wanapokuwa mbele za Wananchi hivi sasa,useme nini wananchi wakuelewe,maana tayari Wananchi wana mfano wao wa kiongozi bora,wana performance appraisal ya kiongozi wao bora,nae ni John Pombe Joseph Magufuli.

Mtu ambae amefanya kazi na watanzania bara miaka zaidi ya 20 akiwa ni Field Public Leader tangu akiwa Naibu Waziri miaka ya 1995 kisha Waziri kamili katika wizara zaidi ya tano kwa miaka ishirini na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Faida na hasara za kulitaja jina la Rais Magufuli.
Faida

Katika Uongozi wa Rais Magufuli tulishuhudia improvements kubwa sana katika huduma za kijamii na miundo mbinu ambayo kimsingi Watanzania wengi walikuwa wahanga wa huduma mbovu kabla yake, hivyo basi utakapo fanya jambo jema kwenye huduma za jamii au miundo mbinu na ukalitaja jina la Rais Magufuli basi Wananchi watakuelewa sana.

Hayati Rais Magufuli alileta elimu bure,aliwasaidia Watanzania wengi sana. Takwimu zinathibitisha hili baada ya wanafunzi wengi sana kuongezeka sasa,hii ni faida aliyoleta Rais Magufuli.Rais Magufuli alitatua kero za wanyonge na walioonewa ambao walishaomba msaada kwa wasaidizi wake karibu wote bila kusaidiwa,na wakakata tamaa,Wananchi walifurahi Rais Magufuli alipokwenda na kutatua matatizo yao pale pale,hiyo ilikuwa ni karama ya Uongozi aliyokuwa nayo Rais Magufuli.

Magufuli alilinda rasilimali za nchi,tulifikia wakati hadi twiga wanapanda ndege,unatarajia Watanzania wengi tungemchukia,jibu ni hapana, Watanzania walimpenda Rais Magufuli kwa sababu Wanyama waliongezeka mbugani badala ya kupungua na takwimu zinaonyesha,Rais Magufuli alijenga ukuta Mererani kuzuia kuibiwa kwa madini ya Tanzanite,hii hakuifanya kwa ajili yake bali aliifanya kwa ajili ya Watanzania,je unatarajia Watanzania wamchukie!?

Rais Magufuli aliwatetea machinga na mama ntilie, nao wakawa walau na uhuru wa kufanya biashara zao halali kwa amani ili kupata vipato vya kusaidia familia zao.je unatarajia Watanzania wangemchukia Watanzania walimpenda kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, not kwa kuwa aliwahenyesha matajiri hapana Rais Magufuli hakuhenyesha matajiri, alihenyesha wapigaji,wala rushwa,waonea wanyonge, Mafisadi na walanchi.

-Hasara

Unapotaja jina la Rais Magufuli kwa chuki binafsi za udini,ukabila au itikadi hii ni hasara kwako,adui yako si Magufuli,kwa wapinzani adui yenu ufisadi, uongozi mbovu,mfumuko wa bei kwenye bidhaa,na kutotumia vyema rasilimali za Tanzania kuinufaisha Tanzania.

Mpinzani wenu ni CCM kama itafanya vibaya mbele za Wananchi,Kosa hilohilo lilifanywa na Chadema ambao waligombana na Zitto na Dkt Slaa huku adui yao akiwa ni CCM ambayo ilionekana kuanza kukataliwa kwa Wananchi,

Kwa sasa tuna tatizo kubwa la mfumuko wa bei vitu vinavyowagusa Wananchi moja kwa moja badala yake Zitto Mambo ya mwaka 2017 na anamtaja mtu aliyekufa!! Sasa ataamka aje akurekebishie mfumuko wa bei uliopo hii leo!!?

Tukiwa kwenye mfumuko wa bei hakuna atakayemsema Hayati Rais Magufuli akapata Faida yoyote Ile, zaidi nawaona wanaomkosoa hasa viongozi kama akina Zitto wakipata uharibifu mkubwa na kujenga chuki mioyoni mwa wananchi wa hali ya chini, masikini ambao daima walimuona Rais Magufuli mkombozi wao.

Wakati huu wa maisha magumu vitu vinapanda bei ukimshambulia Rais Magufuli, Kwa namna mbalimbali,ni kujimaliza kisiasa,kifikra,kiutamaduni na kimaendeleo.

Kundi la Wananchi masikini walioneemeka au kupata ahueni kijamii,kiuchumi na kisiasa katika awamu ya Rais Magufuli daima watamchukia mtu ambae anamsema Rais Magufuli ambae kwao alikuwa mkombozi.

Kitendo cha Rais Magufuli kuleta nidhamu serikalini tayari ni neema maana watu watahudumiwa ipasavyo na hakika watu walihudumiwa ipasavyo, Umeme ulikuwa stable na Umeme usipokatika unatumika na watu wote na ukiwa stable faida twapata sote.

Aliwaachia wamachinga uhuru wa kutengeneza vipato vyao vya halali na wakapata hela kwa kazi za halali kwa hakika Wamachinga walimpenda Rais Magufuli kwa hilo,na kwa ujumla hatuwezi kusema hakuna alieneemeka kiuchumi!

Rais Magufuli alijenga Reli ya Umeme kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alijenga masoko Kila Wilaya Tanzania mzima kwa faida ya Watanzania,sio kwa faida yake,Rais Magufuli alijenga Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere kwa faida ya Watanzania,Rais Magufuli alihamisha makao makuu ya Nchi kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa faida ya Watanzania.

Leo atanangwa juu ya covid lakini twende ndani turudi nje mzee alifanya maamuzi sahihi juu ya lile suala,hilo gonjwa la corona tutaishinalo kama mafua na ukimwi tu hata huko nje sasa wanaishinalo.

Rais Magufuli hakukataa chanjo ila alitaka uhakika wa chanjo hizo kama ni salama kwanza,hii ni kwa faida ya Watanzania,yeye kama mkemia nae alitaka kujiridhisha,sio kupokea tu.

Kinachofanyika sasa ni kutoa ile imani ya utendaji wa Rais Magufuli ndani ya akili za Watanzania!,maana watu wanaamini ule utendaji wake kama ndio kiongozi anavyopaswa kuwa na waliusubiri uongozi kama huo kwa muda mrefu.

Sasa viongozi wa sasa wanajua tutawahukumu kwa kumtumia magufuli kama mfano!..Mfano suala la upatikanaji wa umeme lilivyoanza kusuasua ni mashahidi tosha watu walianza kupiga kelele!,na hii ni kwa sababu tulishazoeshwa huduma hii kutokuwa ya kusuasua katika Uongozi wa Rais Magufuli.

Nimalizie kwa kusema kwamba kuna watu wanachanganya kati ya Uzalendo na Uchawa,Uchawa siyo Uzalendo japo una tabia za kufanana. Awamu ya Tano kulikuwa na wazalendo wengi unaweza ukarejea viongozi kama Balozi Humprey Polepole na wengineo ila hivi sasa kuna chawa wengi.

Unaweza kufanya utafiti wako binafsi,Pumzika kwa amani Rais John Pombe Magufuli,Mzeee JPM apumzike kwa amani,kuna wahuni wanatembelea barabara zako ulizojenga,wengine wanapanda ndege zako ulizonunua na bado wanasema haukufanya chochote.

Enzi zako baba unga wa dona uliuzwa tsh. 800 kwa kilo moja,hivi sasa unga dona ni tsh 1800 hadi 2,200 kwa kilo moja,kazi inaendelea ila ikiendelea hivi kwenye uchaguzi ujao tutafika tumechoka, nimalizie kwa kusema,Uwe na hoja usiwe na hoja utamtaja tu Rais Magufuli,awe alikuziba mdomo au hakukuziba mdomo utamtaja tu,uwe unampenda au haumpendi utamtaja tu,niwatakie heri ya mwaka mpya 2023.

Nikiishia hapa, mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;-
-Assessment on the effect of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Umeongea mkweli mtupu, na msemakweli ni mpenzi wa Mungu.

Hata hawa wanajitoa akili makusudi wanajuwa ukweli ndio huu uliouweka hapa.
 
Back
Top Bottom