Jina la Magufuli limetajwa sana mwaka 2022

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mkuu anza mwaka 2023 na falsafa ya mwamba hakika utapata maendeleo kwa kasi ya ajabu. Dont afraid to try, do what others can't do. Binasfi natumia falsafa zake mwamba japo zingine ni ngumu hadi najiuliza yule mwamba hakuwa mtu wa kawaida, mfano kumuadhibu ndugu au rafiki yako pale anapotaka kukukwanisha.
 
Tanzania kuna Rais mmoja tu naye ni Samia huyo mwingine ni wa kwako mwenyewe
 
Shetani anatajwa Kila siku kwenye Nyumba za ibada
 
Haisaidii keshakufa huyo na ikulu harudi tena.

Watu wabaya hawaishi (siyo maneno yangu haya)
Mitume wote na watu wema wote wamekufa tunabaki kusoma historia zao tu, mwenye kuishi muda mrefu ni shetani ndio hadi leo yupo hai.
 
Hata wa 2020 hakuwa turufu.
Magu ndo TURUFU ya UCHAGUZI wowote wa urais ujao.

Apewe tuzo na Atambuliwe kama MZALENDO,MPAMBANAJI, RISK TAKER, Mwenye UTHUBUTU, asiyetunza SIRI ovu Kwa maslah ya watu wake.

Aaamen.
 
Magu ndo TURUFU ya UCHAGUZI wowote wa urais ujao.

Apewe tuzo na Atambuliwe kama MZALENDO,MPAMBANAJI, RISK TAKER, Mwenye UTHUBUTU, asiyetunza SIRI ovu Kwa maslah ya watu wake.

Aaamen.
Turufu kwa nani? Samia vs Lissu Sasa turufu kivipi wakati wote hao ni wakaosoaji wake wakubwa?

Ni turufu kama hao kina Bashiru wataanzisha chama kitu ambacho hawawezi maana ni waoga.
 
Mbona maelezo mengibafu no evidence of the Title
 
JPM ataendelea kutajwa sana tu. Hii ni kutokana na kudhibiti kwa kiasi kikubwa mambo ya Ufisadi, Rushwa, Ubadhirifu, Wizi wa mali za umma na Ubinafsi.
 
Turufu kwa nani? Samia vs Lissu Sasa turufu kivipi wakati wote hao ni wakaosoaji wake wakubwa?

Ni turufu kama hao kina Bashiru wataanzisha chama kitu ambacho hawawezi maana ni waoga.
Walitakalo wananchi ndilo litakuwa.

Ukisimama ukaanza kusifia tozo, mara royal tour hutomaliza hotuba Yako sababu ya zomea zomea,

Tuko ground na Hali Iko hivyo.

Pia uwe makini uliowataja hawatogombea.
 
Walitakalo wananchi ndilo litakuwa.

Ukisimama ukaanza kusifia tozo, mara royal tour hutomaliza hotuba Yako sababu ya zomea zomea,

Tuko ground na Hali Iko hivyo.

Pia uwe makini uliowataja hawatogombea.
Lissu alimpa JPM za uso ila mbona hakuzomewa..... Chato yenyewe alishangiliwa ndio sembuse 2025. Kingine kwa upande wa CCM uzome usizomee hawategemei kura zetu usishangae NEC ikampa Samia kura 80%!!
 
Lissu alimpa JPM za uso ila mbona hakuzomewa..... Chato yenyewe alishangiliwa ndio sembuse 2025. Kingine kwa upande wa CCM uzome usizomee hawategemei kura zetu usishangae NEC ikampa Samia kura 80%!!
Uwe unaelewa, HATOGOMBEA.๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ 
 
Hata shetani anatajwa sana kwenye nyumba za ibada
 
Uwe unaelewa, HATOGOMBEA.๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ 
Kasema nani mkuu? Hata JPM Kuna watu walidai hatogombea sababu ya Ile presha ya Team Kikwete ila sio tu aligombea bali waliosema vile wakaishia kupiga magoti. Mama Alishasema atagombea liwalo na liwe maadam ni Amiri Jeshi Mkuu kwa hii katiba hakuna anayeweza furukuta otherwise bunge linavunjwa na mahakama yote inapanguliwa upya anaanza A maana katiba inamruhusu. In fact ana uwezo hata wa kubadili mwenyekiti wa NEC wiki Moja kabla ya uchaguzi Sasa unadhani nani atamzuia kugombea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ