Rais wa wapare
Member
- Jul 8, 2020
- 17
- 21
Kwanza nitangulize shukrani.
Mwaka 2021 mama yangu alipata ajali sasa akafungua kesi ya madai ikaenda ikafikia mpaka hatua ya utekelezaji kabla ya kufanya utekelezaji ikagundulika kuwa jina la mdaiwa limekosewa kwahiyo ikabidi utekelezaji usimamishwe.
Nilikuwa naomba kujuzwa je inawezekana kusahihisha jina na kuendelea na utekelezaji na kama inawezekana anatakiwa afuate taratibu zipi?
Ahsante.
Mwaka 2021 mama yangu alipata ajali sasa akafungua kesi ya madai ikaenda ikafikia mpaka hatua ya utekelezaji kabla ya kufanya utekelezaji ikagundulika kuwa jina la mdaiwa limekosewa kwahiyo ikabidi utekelezaji usimamishwe.
Nilikuwa naomba kujuzwa je inawezekana kusahihisha jina na kuendelea na utekelezaji na kama inawezekana anatakiwa afuate taratibu zipi?
Ahsante.