Jina la Mirembe lamkera Waziri Ummy, atamani kulibadilisha

Jina la Mirembe lamkera Waziri Ummy, atamani kulibadilisha

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza matamanio ya kuibadilisha jina la Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe ili kuondoa fikra mbaya kwa jamii kuhusu wagonjwa wananotibiwa katika hoaspitali hiyo

"Natamani libadilishwe hata jina la Mirembe kwakweli sababu ukienda pale unaonekana ni chizi tena unamatatizo na Afya ya akili ni tatizo ambalo linampata kila mtu ni kama vile Afya ya mwili inavyopata inavyopata misukosuko Afya ya akili nayo inapata misukosuko" - Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya wakati akitoa taarifa kuhusu mpango wa Serikali wa kuendeleza Watumishi wa Sekta ya Afya katika fani za ubingwa na ubingwa bobezi.

 
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza matamanio ya kuibadilisha jina Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe ili kuondoa fikra mbaya kwa jamii kuhusu wagonjwa wananotibiwa katika hoaspitali hiyo

"Natamani libadilishwe hata jina la Mirembe kwakweli sababu ukienda pale unaonekana ni chizi tena unamatatizo na Afya ya akili ni tatizo ambalo linampata kila mtu ni kama vile Afya ya mwili inavyopata inavyopata misukosuko Afya ya akili nayo inapata misukosuko" - Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya wakati akitoa taarifa kuhusu mpango wa Serikali wa kuendeleza Watumishi wa Sekta ya Afya katika fani za ubingwa na ubingwa bobezi.

Odo kama Odo!
 
Yule yuko anpiga mashine mama yako.. nenda kamcheki mama yako utakuta anakatika kwenye kiti alichokalia... ujue kakalia nyama ndefu..
Mamangu yu hai hapa duniani... labda mamako aliyeko kuzimu na yule nabii wenu feki.
 
Hilo watakaloweka na Watu wataenda nalo itakuwa ni kitu hichohicho...mfano waiite Hospitali ya Sebi, watasema tu "wewe wa kupelekwa Sebi".
Uko smart sana...yaani anashindwa kuelewa kama limewakera watu ni kwamba imetokana na kufamika kwa hospital hiyo inashughulika na nini....kwa hiyo hata akibadili Jina ni suala la muda tu....watu litawakera tenaa....
 
Bahati mbaya Sana ya Ummy ni kudhani kwamba kuongea Sana na vyombo vya habari ndiko kutamfanya kuonekana anachapa kazi mwisho anaonekana Kama Mwandishi habari wa wizara badala ya waziri
 
Sasa ata ukiita jina gani si itakuwa inajulikana tu ile hosp inashugulika na vichaa

Mfano " huyu apelekwe ummy mwalimu" hospital ya vichaa

Au akili ya mama imeanza kupata udogo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza matamanio ya kuibadilisha jina la Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe ili kuondoa fikra mbaya kwa jamii kuhusu wagonjwa wananotibiwa katika hoaspitali hiyo

"Natamani libadilishwe hata jina la Mirembe kwakweli sababu ukienda pale unaonekana ni chizi tena unamatatizo na Afya ya akili ni tatizo ambalo linampata kila mtu ni kama vile Afya ya mwili inavyopata inavyopata misukosuko Afya ya akili nayo inapata misukosuko" - Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya wakati akitoa taarifa kuhusu mpango wa Serikali wa kuendeleza Watumishi wa Sekta ya Afya katika fani za ubingwa na ubingwa bobezi.

Tafuteni kichaa mmoja huko serikalini muipe jina lake.
 
Back
Top Bottom