Kuna rafiki yangu ambaye ameoa hivi karibuni,mkewe
kajifungua mtoto wa kike...
Tatizo sasa ni kuwa yeye baba mtoto alitaka kumpa
mtoto jina la mama yake ambalo ni mwajabu.....
Mama mtoto hataki jina hilo anadai la kishamba...
Yeye anataka mtoto aitwe preta jina la msichana wa
kwenye tamthilia ya wa brazil inayoitwa shades of sin ambayo
inaendelaea sasa hivi.....
Mimi nimemuunga mkono baba mtu......
Nynyi mnaonaje????????????
Tuwashauri vipi???????
ni kaaazi kwelikweli!
wapendanao mimi nilidhan wangepewa nafasi kila mmoja wao kuelezea hisia zake, ila kwakua jina ni maisha ya mtoto.
wakae faragha maana sijaona sababu za msingi hapo lipi jina linamfaa mtoto ingawa navutika na jina la bibi yake,
lakin ni ukweli pia sio jina zuri saaana
kumpa mtoto katika zama hizi za utandawazi!
kwa ushauri baba atumie busara
kumwachia mama mtoto nafasi
kwakua ni jinsia yake ila kubwa zaid ni
kumwomba mama achague jina zuri
na litakaloweza kumfurahisha na mumewe
pia sio kigezo kizuri kuchagua jina
sababu tu ni la kwenye tamthilia!
kwakuzingatia ushauri huu
nawaomba warudi chumban
bila kuathiri afya ya mtoto
watuletee jina watakalo mpa mtoto wao
majina yaliyotumikaaaaaaaaaaaaaa
yanakua yamemaliza baraka!
Tchao