washauri kuwa jina linakuja kuwa na athari huko mbele katika mafanikio ya mtoto believe you me!...Hilo jina la Mwajabu sijui maana yake..lakini ajabu zaidi ni hilo la Preta.... wanajua maana yake? je wameshaona akina Preta ni watu wa namna gani?
Watu wengine wanapenda kujitafutia matatizo kwenye ndoa zao. Waachane na hayo majina mawili, kila mtu aandike majina matatu anayoyapenda katika karatasi wayachanganye na mmoja wao achague kikaratasi chenye jina moja katika hivyo vikaratasi sita na jina likalochaguliwa la kwanza ndiyo liwe jina la mtoto.
amwite TANGAWIZI
kwani mwajabu maana yake ni nini? labda wale waislamu watuelezee
Wampe jina la Irene sabab ni zuri na wenye nalo wanatabia njema hasa huwa wanabahati, ama charity kama watakubaliana kuchukua jina la kwenye tamthilia sabab lipo wazi na maana yake, hata hope ni zuri kiasi,
Duuu... ila waache utani hao wenye mtoto sabb wanatakiwa wakae chini wao kama wao tena bila kuwahusisha watu wengine na wafikie muafaka kwa upendo sabb utani utani wanaweza fikia kwenye mtafaruku wa kijinga tena mkubwa sana tu.
Watu wengine wanapenda kujitafutia matatizo kwenye ndoa zao. Waachane na hayo majina mawili, kila mtu aandike majina matatu anayoyapenda katika karatasi wayachanganye na mmoja wao achague kikaratasi chenye jina moja katika hivyo vikaratasi sita na jina likalochaguliwa la kwanza ndiyo liwe jina la mtoto.