Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Kuna USA na Usa River, zingatia capital letter.Na USA RIVER vp mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna USA na Usa River, zingatia capital letter.Na USA RIVER vp mkuu.
Vipi hapo Mtaa wa Simba na Fisi ..zedigito na kwa switimanka ...Ikola ya CongoWakuu,
Nimeshangaa hivi karibuni kujua kwamba kuna wilaya huko MKOA WA KATAVI inaitwa WILAYA YA TANGANYIKA.
Yaan, JINA TUKUFU la TANGANYIKA limedharauliwa hadi kupewa wilaya?
Ina maana tumeshamiria kabisa kuiua TANGANYIKA?
CC: Pascal Mayalla
Ndo maana nchi ni shamba la bibiUko Mkoa unaitwa Tanga ni kifupi cha Tanganyika na huu mkoa ndio uliozaa jina la nchi ya Tanganyika,jina Tanga(Tanja),inasemekana ni jina la asili ya Kiajemi(Iran), iikiwa na maana ya Shamba, kwa hiyo maana ya Tanganyika ni Shamba na nyika(pori).Ña pia liko.kabila mkoani Tanga,shamba wanaita Tanga.
KalemaSoma historia yenu kabla ya kuanika ulivyo mweupe hapa.
Hiyo wilaya Ipo Kabla nchi yenu haijulikani kama ni nchi. Matter of fact, nchi ya Tanganyika ilikopa jina lake huko and not the other way around.
Congo kuna eneo linaitwa Tanganyika kwa sasa ni Jimbo la Tanganyika ambalo lilikua linafika hadi huku Tanzania ya Leo. Yote ilikua ndani ya Congo.
Tanganyika province Ipo hadi Leo huko Congo mpaka ni ziwa Tanganyika lenyewe. Nyie ndo mmecopy wao.
Siku nyingine nitakueleza waroma walivyo fanya hilo jina kukua na hatimaye kuwa jina la nchi kabisa.
Siku nyingine, siku nyingine, ndo imetoka hio, hautokuja kutuelezea, tushawazoeaSoma historia yenu kabla ya kuanika ulivyo mweupe hapa.
Hiyo wilaya Ipo Kabla nchi yenu haijulikani kama ni nchi. Matter of fact, nchi ya Tanganyika ilikopa jina lake huko and not the other way around.
Congo kuna eneo linaitwa Tanganyika kwa sasa ni Jimbo la Tanganyika ambalo lilikua linafika hadi huku Tanzania ya Leo. Yote ilikua ndani ya Congo.
Tanganyika province Ipo hadi Leo huko Congo mpaka ni ziwa Tanganyika lenyewe. Nyie ndo mmecopy wao.
Siku nyingine nitakueleza waroma walivyo fanya hilo jina kukua na hatimaye kuwa jina la nchi kabisa.
Wilaya IPO KABLA YA NCHI??Soma historia yenu kabla ya kuanika ulivyo mweupe hapa.
Hiyo wilaya Ipo Kabla nchi yenu haijulikani kama ni nchi. Matter of fact, nchi ya Tanganyika ilikopa jina lake huko and not the other way around.
Congo kuna eneo linaitwa Tanganyika kwa sasa ni Jimbo Tanganyika ambalo lilikua linafika hadi huku Tanzania ya Leo Kabla ya mipaka ya mkoloni.
Kadhalika ziwa Tanganyika linaitwa hivyo hivyo Kabla hata wakoloni hawajafika.
Siku nyingine nitakueleza waroma walivyolikuza hilo jina na hatimaye kuwa jina la nchi kabisa
Kwahiyo hata ziwa Tanganyika halikustahili kuitwa hivyo. Uko baa gani wakuongeze bia.Wakuu,
Nimeshangaa hivi karibuni kujua kwamba kuna wilaya huko MKOA WA KATAVI inaitwa WILAYA YA TANGANYIKA.
Yaan, JINA TUKUFU la TANGANYIKA limedharauliwa hadi kupewa wilaya?
Ina maana tumeshamiria kabisa kuiua TANGANYIKA?
CC: Pascal Mayalla
Wilaya IPO KABLA YA NCHI??
Mkuu.Majina yametangulia hizo jurisdiction ziliduata baadaye.
Kwa akili yako ziwa Tanganyika lilikua linaitwaje Kabla ya wakoloni?
Tanganyika Jimbo la Congo unadhani liliiga nchi yenu? Kaulize Hilo eneo linaitwa Tanganyika toka lini huko Congo utapata jibu.
Mkuu.
Tunazungumzia wilaya ya TANGANYIKA.
SIYO ZIWA WALA JIMBO LA KONGO.
Unasema wilaya ya TANGANYIKA ilikuwepo kabla ya NCHI?
Hoja yangu ni wilaya kupewa jina la TANGANYIKA.