SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na pia ule msukule wa GSM ulisema watopolo wote hawana akili timamu ispokuwa Sunday Manara na JK. Utopolo hili jina halifutiki kwani wamejibatiza wenyewe.JE wajua mashabiki wa deportivo de Utopolo wote wametiwa dole la kati na METACHA MNATA?
We ndio unazidi kulipromoteNi ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa. Kweli kutesa kwa zamu.Tafta hela heshima itakufuata yenyewe.
Hii hapa mkuuNa pia ule msukule wa GSM ulisema watopolo wote hawana akili timamu ispokuwa Sunday Manara na JK. Utopolo hili jina halifutiki kwani wamejibatiza wenyewe.
Umesahau Mama Jay FCNikupe tofauti ya Makolo na Utopolo?
UTOPOLO: Ni Jina lililotokana na Mwanayanga kindakindaki lililotamkwa kwa hisia dhidi ya Uwezo wa Timu ya Yanga. Jina hili limekuwa ni msamiati mpya kwenye Lugha ya kiswahili kwani hata wasiofatilia mambo ya Mipira unapofanya jambo lisiloeleweka watakwambia "HEBU WACHA UTOPOLO WAKO".
MAKOLO: Ni Jina la kulazimisha lisilotokana na Mwanasimba bali Yanga kuwalazimisha Simba walipokee. Hili Jina halijabeba hisia yoyote zaidi ya kuforce likubalike.
Hivyo UTOPOLO ni Jina litakaloishi kizazi na kizazi likifuatiwa na Vyura FC, Gongowazi na Ndala. Majina mengine kama Chaneta FC, Lialia FC, Wakimataifa, Manyani FC, Misukule FC, Vibwengo FC, CAS FC, KARIA FC, IRIZAR FC, WAMADIMBWINI FC, GSM FC n.k. haya yote yamepotea na yatapotea.
Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa. Kweli kutesa kwa zamu.Tafta hela heshima itakufuata yenyewe.
Lage???Majina yote yanaweza kupita Ila lile lililotolewa na mwenyekiti Lage ( mbumbumbu fc) haliwezi pita.
Na huu ndiyo Utopolo wenyewe kila kitu wanakosea tuLage???
Ulivyokuwa mtopolo hata hujui kwa thread hii ndiyo unazidi kulikoleza. UTOPOLO OYEEEEEEE!!!!!Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa. Kweli kutesa kwa zamu.Tafta hela heshima itakufuata yenyewe.
Umesahau Mama Jay FC
Hilo jina halichuji limekaa mahala pakeMke wangu shabiki wa utopolo
Cha ajabu tuna mtoto mdogo jana kajikojolea mama ake akamwambia
Heeee mbona unamambo ya utopolo mwanangu
Nilicheka sanaaa ndgu zangu
TURUDI NYUMA: Kuna timu ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA" SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA. WAKATI HUO, TIMU NYINGINE ILIRINGIA ASILI YAKE KWA KUJIITA "VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM ( DAR es Salaam Young Africans). NI AIBU TIMU KUFUNDISHWA NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa. Kweli kutesa kwa zamu.Tafta hela heshima itakufuata yenyewe.