Jina la "Utopolo" linapotea kwa kasi mtaani

Jina la "Utopolo" linapotea kwa kasi mtaani

Abby Newton

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2017
Posts
1,252
Reaction score
2,253
Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa.

Kweli kutesa kwa zamu.

Tafuta hela heshima itakufuata yenyewe.
 
Jina kama hili linakufaje, jina mnajiita wenyewe yaani huko watu wako bize kila siku kutunga majina mara mikia, simbilisi,mara mnajiita utaputapu mara utopolo, yaani hili jina la utopolo ni classic kabisa hata waandishi wa sports Ghana nigeria wanalijua kabisa halfu lina sound kama ki spannish kumbe kihehe kikimanisha KITU CHA HOVYOHOVYO ,MLENDAMLENDA
 
IMG_20211005_215500.jpg
 
Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa. Kweli kutesa kwa zamu.Tafta hela heshima itakufuata yenyewe.
Uto umesikika vibwengo fc
 
Back
Top Bottom