Jina la Yesu ndio silaha itakayotimika Vita ya Tatu ya Dunia na watakatifu kuangusha waovu

Jina la Yesu ndio silaha itakayotimika Vita ya Tatu ya Dunia na watakatifu kuangusha waovu

JINA LA YESU Kama vile chemicals weapon inavyopiga na kuangusha bila kuonekana basi ndivyo lilivyo yani one attack thousand people die na litatumika na WATAKATIFU tu kuangusha hizi tawala za mataifa ambazo mmiliki ni shetani

Ambazo zimekuwa zikitumika kuwadhihaki WATAKATIFU wa kweli Wa YESU kristo.

Marekani, uchina na urusi na mataifa yote tajili G7 wataangushwa pamoja kwa Kutumia jina la YESU tu watajaribu kurusha makombola lakini hayata wapata WATAKATIFU walio katika YESU KRISTO na Dunia Yote Itatawaliwa na mfalme wa wafalme YESU KRISTO.

View attachment 3055278
Sahihi kabisa
 
Ulivyokua zoba uzi umejaa kumsifu binadam hata Mungu wako umeshindwa kumtaja na umemsahau
 
JINA LA YESU Kama vile chemicals weapon inavyopiga na kuangusha bila kuonekana basi ndivyo lilivyo yani one attack thousand people die na litatumika na WATAKATIFU tu kuangusha hizi tawala za mataifa ambazo mmiliki ni shetani

Ambazo zimekuwa zikitumika kuwadhihaki WATAKATIFU wa kweli Wa YESU kristo.

Marekani, uchina na urusi na mataifa yote tajili G7 wataangushwa pamoja kwa Kutumia jina la YESU tu watajaribu kurusha makombola lakini hayata wapata WATAKATIFU walio katika YESU KRISTO na Dunia Yote Itatawaliwa na mfalme wa wafalme YESU KRISTO.

View attachment 3055278
Toka ndotoni ndugu. Hata huyo msela aitwaye yesu akisoma ujumbe wako atakushangaa sana
 
JINA LA YESU Kama vile chemicals weapon inavyopiga na kuangusha bila kuonekana basi ndivyo lilivyo yani one attack thousand people die na litatumika na WATAKATIFU tu kuangusha hizi tawala za mataifa ambazo mmiliki ni shetani

Ambazo zimekuwa zikitumika kuwadhihaki WATAKATIFU wa kweli Wa YESU kristo.

Marekani, uchina na urusi na mataifa yote tajili G7 wataangushwa pamoja kwa Kutumia jina la YESU tu watajaribu kurusha makombola lakini hayata wapata WATAKATIFU walio katika YESU KRISTO na Dunia Yote Itatawaliwa na mfalme wa wafalme YESU KRISTO.

View attachment 3055278
unamaanisha kwenye Ile miaka 1000 au? Ile millennial kingdom, ambapo shetani atafungiwa kwenye shimo la kuzimu kwa miaka yote hiyo alfu. Kisha tutatawala na Kristo kabla shetani hajafunguliwa tena kidogo. Vita ya mwisho wanadamu wanajeshi wataizunguka Yerusalemu "mji upendwao na Bwana" halafu moto utashuka mbinguni na kuwala!

UFUNUO WA YOHANA 20:1---
 
unamaanisha kwenye Ile miaka 1000 au? Ile millennial kingdom, ambapo shetani atafungiwa kwenye shimo la kuzimu kwa miaka yote hiyo alfu. Kisha tutatawala na Kristo kabla shetani hajafunguliwa tena kidogo. Vita ya mwisho wanadamu wanajeshi wataizunguka Yerusalemu "mji upendwao na Bwana" halafu moto utashuka mbinguni na kuwala!
Ufunuo wa Yohana 20 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
² Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;
³ akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; na baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache.
 
unamaanisha kwenye Ile miaka 1000 au? Ile millennial kingdom, ambapo shetani atafungiwa kwenye shimo la kuzimu kwa miaka yote hiyo alfu. Kisha tutatawala na Kristo kabla shetani hajafunguliwa tena kidogo. Vita ya mwisho wanadamu wanajeshi wataizunguka Yerusalemu "mji upendwao na Bwana" halafu moto utashuka mbinguni na kuwala!
Ufunuo wa Yohana 20 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁶ Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.
⁷ Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;
⁸ naye atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari.
⁹ Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala.
¹⁰ Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.
 
Mpk. Wakristo wenzako wanaona aibu kwa utumbo ulioandika ...
 
Back
Top Bottom