Hahahhahahahhaahha! !!! Acha tu darling kumbe nia ya ile thread ndo hii ? Tatizo sweet sikuhizi umeacha kutoa mafunzo ya Jando ndo maana vijana wanamiss....embu mpe jisomo na yeye ajiokoteamo kamrembo kupayuka hivi kwa mwanaume siyo pouwa!!!!
Nasikia Arusha umeme umekatika eti ni kweli
atoto weeeeeeeeeee!!! Uko wapi njoo huku, shem darling Manga ML upooooooooo? Embu njoo huku, my hubby Eli79 mimi na wewe hatudhuriani embu njoo huku uone chimbo lako la zaman najua viparticles vya upendo vipo bado, kyutiiiiii biiiiiiiiiiiii njoo mama uone huku nduguyo ametangaziwa nia,njoo cute b mama.....
mkuu tuambiane! Au na wewe umemuandika ubongoni?
Toa tamko ex darling.
Hahahaha... hali imekuwa mbaya kijana kaona amwage mchele tu, sijui kachora ka tattoo ka atoto, manake hiyo mistari alivyoishusha ni hatari...! Ngoja ajifunze mwenyewe, wakati mwingine inabidi tuwaache vijana wajifunze, akijikata leo na kiwembe, kesho atakuwa makini.
Ex darling subiri tuone kama huyu dogo ana kipaji cha kuimbisha, usukubali hadi ruined tongozo namba 2
Atoto Nitakufutaje kwenye Roho Yangu