wewe nawe umetaniwa umejiooonaa kweli unapeendwaa !!!!
Wacha hizi bana. Ligi yako kubwa, senior residents tu ndio wanakuweza. Naweza kwenda nao toe to toe, ila heshima tu. Halafu umeanza mwenyewe habari za ajabu kuniita mdogo wako, huko pm unataka nije nikuambie nini?
Atoto Naona bro Eli79 amekosa raha kabisa
We ibra huwezi kunikosesha raha hata siku moja.
:thumbup::thumbup::thumbup:
si kwangu? Eti unauliza kama vile hujui
mwambiee maana naona hapendi jina la ex
na tukawa wapenzi
dhubutuuuuuu
hapana loveee
ndio maana nilikuchezesha gemu usiku kucha basi
hahahaaaa na hela ukanichuna.
Wanaume wa siku hizi ni mario jamaniiii...
sasa cute b raha si tulipata wote, ila usijali w'end hii njoo jumba la dhahabu tufanye yetu then nitakutoa, niaminie mrembo, ila uage kama siku ile asije akajua huyo mtu wako @su...
Kabisa sumbai unanialika kwenye hili? Huu ni unyanyapaa wa wazi kabisa... Anyway NITAKUJA
Kwahiyo dada yako sio special?? Daaah hili balaa hili, ukuje uniambie shule inaendeleaje maana nina mashaka kama kweli unasoma mdogo wangu.
Kazi ya mshana jr
Ananiharibia bbygirl wangu
Habari nimeipata cute b anacode...
Utanata...
Habari nimeipata cute b anacode...
Utanata...
sasa cute b raha si tulipata wote, ila usijali w'end hii njoo jumba la dhahabu tufanye yetu then nitakutoa, niaminie mrembo, ila uage kama siku ile asije akajua huyo mtu wako @su...