Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 266
Nina umri wa miaka 36 sasa, na jina langu halisi ni "FATAKI". Sasa kutokana na matangazo yanayotolewa na taasisi mbalimbali zinazohusika na haki za binadamu, ukimwi, nk, nimeshindwa kumpata mwanamke wa kuishi naye kwa kuwa jina langu limeharribika katika jamii kutokana na matangazo haya...! Kila nikimtokea mwanadada na kujitambulisha kwa jina langu halisi, "Fataki" hushtuka na ghafla naanza kuona interests zake zinaondoka na hatimaye kumkosa....! Please Great Thinkers, help me on what should I do kwa sababu umrri unakwenda...! Je, naweza kuwashitaki taasisi hizi?