Mimi nina 1 ya 16 na nimepanga kusoma PCB lakini nimechaguliwa HGK Lindi sekondari. Nimeomba kubadilishiwa shule lakini nimekuwa kati ya wale ambao hawajabadilishiwa. Naombeni ushauri wana JF nifanyaje kwa huu muda uliobaki.
Mimi nina 1 ya 16 na nimepanga kusoma PCB lakini nimechaguliwa HGK Lindi sekondari.Nimeomba kubadilishiwa shule lakini nimekuwa kati ya wale ambao hawajabadilishiwa.Naombeni ushauri wana JF nifanyaje kwa huu muda uliobaki.AKSANTE.