Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mkuu,una uhakika haujapiga shisha muda huu?Don't smoke and smile!Samahani mkuu, nilimaanisha muheshimiwa waziri mkuu mzee mizesh bender.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,una uhakika haujapiga shisha muda huu?Don't smoke and smile!Samahani mkuu, nilimaanisha muheshimiwa waziri mkuu mzee mizesh bender.
Hali ni ngumu, nimesaga zile mbegu za iyo kitu nikazinyongea kwenye jani la mgomba.Mkuu,una uhakika haujapiga shisha muda huu?Don't smoke and smile!
Mola akubariki sana utawale ukitumiacho.Na wala isitokee kikakutawala.Aaamin!🙏Hali ni ngumu, nimesaga zile mbegu za iyo kitu nikazinyongea kwenye jani la mgomba.
Dah wewe una roho Mbaya Sana
January Makamba au Juma Aweso.
Sasa si laana hiyoMuite Kabudi au Jalala.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kalynda
Heri yangu mimi sijasema.Nimeandika tu.Sasa si laana hiyo
Na rafiki zangu wanaitwa Eliya Hawa ubongo wao ni doubtfulMuite Eliya, au Yusuph.
Nikuongezee au yanatosha??
🤣🤣 kumbe mizengo n mtoto wa mkulima asiyecheka..?nlkua sifahamu mkuuUna utani na Kayanza Mizengo Petero Pinda?Maana yeye ndiye mtoto wa mkulima asiyecheka sana
Daima wanashauri usimpe mtoto jina kisa umemuona mtu flani amekuvutia au teseme umemkubar tabia au kipaji chake.Na rafiki zangu wanaitwa Eliya Hawa ubongo wao ni doubtful