Jina na tiba ya huu ugonjwa ?

Huo ni woga tu unajipa hofu ya kutokuweza kumuhimili mwanamke.maana tukisema ngiri itakua sio sawa,ngiri inasumbua wakati wa baridi na wakati mwingine hata pasipo na vizuri,ila haisumbui wakati wa kufikiria tendo.acha kufikiria zinaa itakupeleka pabaya.nakushauri oa hayo yote yataondoka kwanza utamzoea mkeo na kukupelekea kujiamini.shukuru hivyo hivyo ilisinyaa mwisho wa zinaa moto kwatunaoamini.na wale wasioamini kama kiranga basi utaambulia ukimwi
 
Ngiri katoka polini kahamia tumboni kwako
.Pole
 
Jaribu kufika kwa wataalamu wa afya (hospital) ili waweze kukucheki kujua tatizo.

Mficha maradhi kifo humuumbua.
 
una kila dalili za Ngiri na inapona kabisa hii, wahi hospitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…