choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wanasiasa wananuka rushwa ubadhilifu,ufisadi na wengine wanadamu za watu kwenye mikono yao waache kujiingiza kwenye michezo wanatia nuksi.
Kubadili kikombe wakati chai ni ile ile ni kazi bure.Hii ni mara ya pili mfululizo tunapigwa na Uganda uwanjani kwetu,
Tumebadili makocha lakini wapi
Tumebadili wachezaji lakini wapi
Labda tubadili jina halafu tuone.
Nb: hii timu icheze kimya kimya tuu, yakishaingia mambo ya hamasa tuu, tunapigwa.
Ama tumlete Pep Guardiola aje aifundishe
Uvundo upigwe pafyum ili usitoe harufu sio?Hii ni mara ya pili mfululizo tunapigwa na Uganda uwanjani kwetu,
Tumebadili makocha lakini wapi
Tumebadili wachezaji lakini wapi
Labda tubadili jina halafu tuone.
Nb: hii timu icheze kimya kimya tuu, yakishaingia mambo ya hamasa tuu, tunapigwa.
Ama tumlete Pep Guardiola aje aifundishe
Noma sanaHalina gundu , ni siasa imetawala mchezoni. Anaeingiza siasa kwenye mchezo apigwe chini.
Una hojaHii ni mara ya pili mfululizo tunapigwa na Uganda uwanjani kwetu,
Tumebadili makocha lakini wapi
Tumebadili wachezaji lakini wapi
Labda tubadili jina halafu tuone.
Nb: hii timu icheze kimya kimya tuu, yakishaingia mambo ya hamasa tuu, tunapigwa.
Ama tumlete Pep Guardiola aje aifundishe