Jinai kwa kumshirikisha Mungu, Sheria inasemaje?

Jinai kwa kumshirikisha Mungu, Sheria inasemaje?

funluverx

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
480
Reaction score
343
Wataalam wa Sheria tuwekane sawa hapa.
Hivi, Sheria za Jamhuri yetu zinasemaje kwa mtu kuwa na dhamira ya kumdhuru mwingine lakini akitegemea kumshirikisha Mungu?

Pili, Ikitokea Ushahidi wa Nia ya kuitekeleza jinai husika upo wa kutosha na madhara yakatokea kweli baadae
(Jinai kutimilika) hapo napo inakuwaje?

Haiwezekani kumstaki alieonyesha nia ya kuitekeleza jinai hiyo.

Mfano,
Mtu atoe kauli:
"Haki ya Mungu,
Namuomba Mungu wewe mwezi huu hauishi tunakuzika"

Na ikatokea kweli ndani ya Mwezi Mtu kafa,
Sheria inasemaje hapo,
Mtoa kauli hiyo hawezi kushtakiwa?

Tupeni Elimu wajuvi watu.
 
Sheria hii hii iliyomuweka mbunge kwa kosa la kueleza ndoto yake itoe majibu?

Mie sio msomi ila kama washindwa kuthibitisha uhusika wako wa moja kwa moja wa tukio la kifo hautakuwa na hatia.
 
Anything u say or do can be evidence against u in court
 
Anything u say or do can be evidence against u in court
But remember, anything in court to be accepted as evidence for someone to be convicted, must be proven beyond reasonable doubts.

Your evidences may be used, but will be based on the above circumstances.
 
Najua unaanza kumwandalia mashitaka yule kiongozi flan wa dini aliyemwambia yule mama kuwa mwaka hauishi na ule mdomo hautatema tena cheche za kitusi. Sawa ila, na huyo mwendesha mashitaka ni yupi aliye tiyari kuhatirisha naye uhai wake? Kama atamuondoa huyo mama si anamuondoa pia muendesha mashitaka na pengine hata atakayetumwa kumkamata? Sidhani kuna aliye tiyari kuhatirisha maisha yake
 
Wataalam wa Sheria tuwekane sawa hapa.
Hivi, Sheria za Jamhuri yetu zinasemaje kwa mtu kuwa na dhamira ya kumdhuru mwingine lakini akitegemea kumshirikisha Mungu?

Pili, Ikitokea Ushahidi wa Nia ya kuitekeleza jinai husika upo wa kutosha na madhara yakatokea kweli baadae
(Jinai kutimilika) hapo napo inakuwaje?

Haiwezekani kumstaki alieonyesha nia ya kuitekeleza jinai hiyo.

Mfano,
Mtu atoe kauli:
"Haki ya Mungu,
Namuomba Mungu wewe mwezi huu hauishi tunakuzika"

Na ikatokea kweli ndani ya Mwezi Mtu kafa,
Sheria inasemaje hapo,
Mtoa kauli hiyo hawezi kushtakiwa?

Tupeni Elimu wajuvi watu.
Ili kosa la jinai liweze kumtia mtu mbaroni lazima kuwe na proof ya dhamira plus kitendo unless iwe ni strict liability. Hivyo basi evidence ndio itakayoamua whether huyo mtu alimuua kweli au la, lakni kama hakuna ushahidi wa kutosha huwezi mfunga mtu kwa kauli tu ya kumtisha mtu then umfunge kwa murder labda kwa assault.
 
Ili kosa la jinai liweze kumtia mtu mbaroni lazima kuwe na proof ya dhamira plus kitendo unless iwe ni strict liability. Hivyo basi evidence ndio itakayoamua whether huyo mtu alimuua kweli au la, lakni kama hakuna ushahidi wa kutosha huwezi mfunga mtu kwa kauli tu ya kumtisha mtu then umfunge kwa murder labda kwa assault.
Inakuwaje iwapo Ushahidi wa dhamira ukiwa dhahiri?
Sababu si rahisi kupata Ushahidi wa kusema sasa Mungu anapokea ombi la mtuhumiwa na kisha kulifanyia kazi na mwisho sababu ya Mungu, madhara au tendo la jinai limetimia.
 
Najua unaanza kumwandalia mashitaka yule kiongozi flan wa dini aliyemwambia yule mama kuwa mwaka hauishi na ule mdomo hautatema tena cheche za kitusi. Sawa ila, na huyo mwendesha mashitaka ni yupi aliye tiyari kuhatirisha naye uhai wake? Kama atamuondoa huyo mama si anamuondoa pia muendesha mashitaka na pengine hata atakayetumwa kumkamata? Sidhani kuna aliye tiyari kuhatirisha maisha yake
 
Kila unayemtaja kwenye kesi lazima awe na address ya kumfikia na kumpa summona ya kuja kutoa ushahidi mahakamani. Sasa huyo unayemwita MUNGU haijulikani address yake na hivyo hataweza kutokea Mahakamani kuja kutoa ushahini kwamba ulimshirikisha.


Wataalam wa Sheria tuwekane sawa hapa.
Hivi, Sheria za Jamhuri yetu zinasemaje kwa mtu kuwa na dhamira ya kumdhuru mwingine lakini akitegemea kumshirikisha Mungu?

Pili, Ikitokea Ushahidi wa Nia ya kuitekeleza jinai husika upo wa kutosha na madhara yakatokea kweli baadae
(Jinai kutimilika) hapo napo inakuwaje?

Haiwezekani kumstaki alieonyesha nia ya kuitekeleza jinai hiyo.

Mfano,
Mtu atoe kauli:
"Haki ya Mungu,
Namuomba Mungu wewe mwezi huu hauishi tunakuzika"

Na ikatokea kweli ndani ya Mwezi Mtu kafa,
Sheria inasemaje hapo,
Mtoa kauli hiyo hawezi kushtakiwa?

Tupeni Elimu wajuvi watu.
 
Back
Top Bottom