Jingle bells tafsiri yake mnaopenda kuimba bila kufahamu

Jingle bells tafsiri yake mnaopenda kuimba bila kufahamu

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Ikifika kipindi Cha mwisho wa mwaka December nyimbo za Christmas upigwa ila nyimbo kubwa zaidi ya jingle bell.
Nyimbo hii ilitengenezwa makusudi kwa watumwa weusi waliokuwa wakifungiwa kengele Ili wasitoroke.

Baadhi ya Waafrika husherehekea wakati wa Krismasi

Ni kile wanachoweka kwa mababu wa Kiafrika ili wasitoroke.

Mara tu wanapojaribu kutoroka, hufanya kelele mara moja.

Mwafrika anaimba wimbo huo na kuusherehekea pamoja na wazungu

Bila kujua wanaimba kushangilia jinsi mababu wa Kiafrika walivyoteseka.
FB_IMG_1694763404234.jpg
 
Ikifika kipindi Cha mwisho wa mwaka December nyimbo za Christmas upigwa ila nyimbo kubwa zaidi ya jingle bell.
Nyimbo hii ilitengenezwa makusudi kwa watumwa weusi waliokuwa wakifungiwa kengele Ili wasitoroke.

Baadhi ya Waafrika husherehekea wakati wa Krismasi

Ni kile wanachoweka kwa mababu wa Kiafrika ili wasitoroke.

Mara tu wanapojaribu kutoroka, hufanya kelele mara moja.

Mwafrika anaimba wimbo huo na kuusherehekea pamoja na wazungu

Bila kujua wanaimba kushangilia jinsi mababu wa Kiafrika walivyoteseka.View attachment 2749805
Uongo mtupu. Weka source hii chai yako hapa. Unajisikia raha sana kuandika uongo?

 
Dah ndio tunakubali kuwa wazungu na waarabu waliwafanya vibaya sana mababu zetu.. ila kuendelea kupata credibilty kwenye hizi claim zetu basi tuwe tunaleta vitu vinavyoleta mantiki..

sasa mtu ana claim kuwa Jingle bells tukimba hatujui maana yake.. wakat maana ya nyimbo yoyote iko kwenye lyrics... na ukiangalia huoni hata connection na mambo ya kitumwa yeye ana taka kutuaminisha kuwa huo wimbo walitungiwa watumwa kisa walikuwa wanavishwa kengele..

wakat umesahau watumwa walikuwa wanavishwa vitu vingi walikuwa wana vishwa minyororo shingoni miguuni. walikuwa wanahasiwa ..

point yangu ni kuwa kengele zilikuwepo na zilikuwa na matumiz mbali mbali.. wanyama pia walikuwa wanafungwa kengele na hadi leo pia .. na minyororo na kamba pia zinatumika kufunga wanyama.. huo ulikuwa ni utashi wa wakoloni kuwafunga watumwa.. basi nilitegemea useme kuwa waafrika tuache kutumia kengele maana zilikuwa zinafungwa kwa mababu zetu...

ni sawa sawa useme watu achen kutumia visu au mapanga ni hatari au mtaonekana wauaji maana Urabuni na zama za kale watu walikuwa wanachinjwa..

ukitumia kitu kwa matumiz tofauti tena ambayo hayastaili just kwa utashi wako haikifanyi kile kitu kibaya. kisu sio kifaa hatari ila hatari ni ile mikoni iliyokishika au utashi wa aliekishika.. akionekana chizi na kisu barabarana watu wakataa nae mbali ila mjini watu wanapita na visu na mapanga wala hamuwakimbii sababu mnajua wanaviuza..

vivyo hivyo kwenye kengele na minyororo na sindano na madawa ya kuhasi hayo hayo waliokuwa wanatumia kuwahasi mababu zetu bado yanatumika hadi leo kwneye matumiz sahihi ya kitabibu.
 
Weka lyrics kisha chambua verse kwa verse
 
Ikifika kipindi Cha mwisho wa mwaka December nyimbo za Christmas upigwa ila nyimbo kubwa zaidi ya jingle bell.
Nyimbo hii ilitengenezwa makusudi kwa watumwa weusi waliokuwa wakifungiwa kengele Ili wasitoroke.

Baadhi ya Waafrika husherehekea wakati wa Krismasi

Ni kile wanachoweka kwa mababu wa Kiafrika ili wasitoroke.

Mara tu wanapojaribu kutoroka, hufanya kelele mara moja.

Mwafrika anaimba wimbo huo na kuusherehekea pamoja na wazungu

Bila kujua wanaimba kushangilia jinsi mababu wa Kiafrika walivyoteseka.View attachment 2749805
Wavaa kobazi wako vizuri sana kutunga hekaya za Abunuasi zilizojaa upotoshaji. Nilimsikia hata mmoja akiwapotosha wenzake juu ya historia ya Valentine Day.
Mbona mnateseka sana na imani za wenzenu badala ya kujikita na mafundisho ya kuwajengea imani yetu bila uzandiki kwa imani nyingine?
 
Wavaa kobazi wako vizuri sana kutunga hekaya za Abunuasi zilizojaa upotoshaji. Nilimsikia hata mmoja akiwapotosha wenzake juu ya historia ya Valentine Day.
Mbona mnateseka sana na imani za wenzenu badala ya kujikita na mafundisho ya kuwajengea imani yetu bila uzandiki kwa imani nyingine?
Kwani nimetaja Imani nyingine.ukitaka za wao nitakupa
 
Back
Top Bottom