Jingle bells tafsiri yake mnaopenda kuimba bila kufahamu

Jingle bells tafsiri yake mnaopenda kuimba bila kufahamu

Ikifika kipindi Cha mwisho wa mwaka December nyimbo za Christmas upigwa ila nyimbo kubwa zaidi ya jingle bell.
Nyimbo hii ilitengenezwa makusudi kwa watumwa weusi waliokuwa wakifungiwa kengele Ili wasitoroke.

Baadhi ya Waafrika husherehekea wakati wa Krismasi

Ni kile wanachoweka kwa mababu wa Kiafrika ili wasitoroke.

Mara tu wanapojaribu kutoroka, hufanya kelele mara moja.

Mwafrika anaimba wimbo huo na kuusherehekea pamoja na wazungu

Bila kujua wanaimba kushangilia jinsi mababu wa Kiafrika walivyoteseka.View attachment 2749805
Wewe hiyo simu unayotumia u nafikiri imetengenezwa na babu, zako wa Afrika? Imetengenezwa na wazungu! Hapo ulipo geuka shoto kulia,angalia vitu vingapi vimetengenezwa na wa Afrika, asilimia 95utakuta vyote vya mzungu, sasa hako ka wimbo, ni minor issue,
Hata kama kengele zilifungwa kwa watumwa! Vile vile kuzaliwa kwa kristo, yesu, wa kristo wanahaki ya kupiga kengele, matalumbeta kushangilia!
Acha akili finyu,
Vitu vingi anavyotumia mwafrika ni vya mzungu!
Usijifiche nyuma ya, Historia, eti kwa vile wimbo huu ulitumika kwa, wwtumwa, hauwezi kutumika sehemu nyingine na ukaleta maaana,
Yaani kwa vile mtu aliyeitwa Adolf, aliua wayahudi kule ujerumani, basi Hilo jina ni hovu lisitumike kuwapa watoto! Seriously! Bro!
 
SmartSelect_20230917_090703_Samsung Internet.jpg


Kwanini umeweka hii sehemu badala ya hizo jingle bells? Ulilenga kusema nini?
 
Jamaa muongo na anapotosha,propagandist wa mudi huyu sio bure.
 
Jamiiforum wezesheni kuina video na picha katika app
hiyo kazi imewashinda, wanachoweza ni kupiga bann tuu!! huu mtandao tusiokuwa makin utapata anguko kubwaaa, hilo suala watu wameimba mala kuimbaaa hawasikiiiii
 
Back
Top Bottom