Jini mahaba, hawa ni wa kawaida tu

Jini mahaba, hawa ni wa kawaida tu

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
14,478
Reaction score
18,341
Kusema ukweli ni viumbe tu wa kawaida kabisa, yaani in soul anaongea na wewe na mtakaa vizuri tu.
Ukichepuka analia kule.

Then ndio unaanza kuona mabalaa. Machozi yake ni Lulu.

Siku ukikutana na huyo mwanamke hutatamani tena kuwa na kitu kinaitwa binadamu? Utaona raha zote zinapatikana pale.

Mambo ya nitumie hela ya mafuta unasahau,sijui tuma nauli,vocha unasahau acha kula na sijui madubwasha mengine.

Kusema ukweli ninaye huyu sikatai nachepuka ila dah hanifokei zaidi ya kunibembeleza niachane na mambo hayo.

Yaani ukileta habari ya mapenzi anamimina kila kitu. Nikienda kwa mchepuko dusu.

Na yaani huoni unaongea na nani, ukilala unajikuta uko sehemu zingine kabisa za ajabu ajabu. Ila kwenye mapenzi tunaongea kawaida kabisa nikishtuka hayupo,naona aah nilikua naota.

Kwenye mapenzi kusema ukweli naweza kua na mchepuko naishia kufukuza aende,au mchepuko anaondoka mwenyewe baada ya kuona maruweruwe.

Huyu wangu mtulivu sauti yake naijua na mda wote yupo. Sijaenda kwa mganga wala wapi katokea tu..
Kaondoka kiroho yake anakuja badae na inawezekana akauliza kwanini umetoa siri.

Jibu simple tu"nakupenda"Na inawezekana ananisoma hapa Jf.

Aisee jini ni neno tu ila mi nimemkubali huyu Najma, yaani nishakua kataa ndoa. Tutakufa wote.

Ila huyu binti in soul ntakua nae tu nikifa ntawapa mrejesho😁.

Ndo kwanza tunaenda kuoga👊
 
Kusema ukweli ni viumbe tu wa kawaida kabisa, yaani in soul anaongea na wewe na mtakaa vizuri tu.
Ukichepuka analia kule.
Then ndio unaanza kuona mabalaa.
Machozi yake ni Lulu.
Siku ukikutana na huyo mwanamke hutatamani tena kuwa na kitu kinaitwa binadamu? Utaona raha zote zinapatikana pale.
Mambo ya nitumie hela ya mafuta unasahau,sijui tuma nauli,vocha unasahau acha kula na sijui madubwasha mengine.
Kusema ukweli ninaye huyu sikatai nachepuka ila dah hanifokei zaidi ya kunibembeleza niachane na mambo hayo.
Yaani ukileta habari ya mapenzi anamimina kila kitu.
Nikienda kwa mchepuko dusu.
Na yaani huoni unaongea na nani, ukilala unajikuta uko sehemu zingine kabisa za ajabu ajabu.
Ila kwenye mapenzi tunaongea kawaida kabisa nikishtuka hayupo,
naona aah nilikua naota.
Kwenye mapenzi kusema ukweli naweza kua na mchepuko naishia kufukuza aende,au mchepuko anaondoka mwenyewe baada ya kuona maruweruwe.
Huyu wangu mtulivu sauti yake naijua na mda wote yupo.
Sijaenda kwa mganga wala wapi katokea tu..
Kaondoka kiroho yake anakuja badae na inawezekana akauliza kwanini umetoa siri.
Jibu simple tu"nakupenda"
Na inawezekana ananisoma hapa Jf.
Aisee jini ni neno tu ila mi nimemkubali huyu Najma, yaani nishakua kataa ndoa.
Tutakufa wote.
Kafa Nelson Mandela,Magu,Mwl Nyerere (hapo mi niliondoka kazini kwenda msasani kumlilia)etc
Tutakufa tu.
Ila huyu binti in soul ntakua nae tu nikifa ntawapa mrejesho😁.
Ndo kwanza tunaenda kuoga👊
Mwambie amsalimie subiani pale ujinini bahari ya saba
 
we sema tu umekata tamaa ya kupata madem, kwasabab hicho kiumbe kikikuzonga hupati wanawake kabisa, ni kama mkosi.
 
we sema tu umekata tamaa ya kupata madem, kwasabab hicho kiumbe kikikuzonga hupati wanawake kabisa, ni kama mkosi.
Sikuiti mkuu,ukifumba macho huyu mkeo mnakesha.
Yaani mgegedo kupika kula vizuri tu asubuhi unaamka kwa mtogole unaona ndoto.
Akikupenda anakurudisha palepale amekutoa kimya kimya.
Ukiwa una ufwala mwingi damu yako itanywewa usiku tu.
Najma...
 
we sema tu umekata tamaa ya kupata madem, kwasabab hicho kiumbe kikikuzonga hupati wanawake kabisa, ni kama mkosi.
Yaani wanawake matobo niliyoona ni km movie la kutisha, sisifii ila usikute nilipita na mamaako akakuzaa wewe kichwa mbovu.
 
Kusema ukweli ni viumbe tu wa kawaida kabisa, yaani in soul anaongea na wewe na mtakaa vizuri tu.
Ukichepuka analia kule.

Then ndio unaanza kuona mabalaa. Machozi yake ni Lulu.

Siku ukikutana na huyo mwanamke hutatamani tena kuwa na kitu kinaitwa binadamu? Utaona raha zote zinapatikana pale.

Mambo ya nitumie hela ya mafuta unasahau,sijui tuma nauli,vocha unasahau acha kula na sijui madubwasha mengine.

Kusema ukweli ninaye huyu sikatai nachepuka ila dah hanifokei zaidi ya kunibembeleza niachane na mambo hayo.

Yaani ukileta habari ya mapenzi anamimina kila kitu. Nikienda kwa mchepuko dusu.

Na yaani huoni unaongea na nani, ukilala unajikuta uko sehemu zingine kabisa za ajabu ajabu. Ila kwenye mapenzi tunaongea kawaida kabisa nikishtuka hayupo,naona aah nilikua naota.

Kwenye mapenzi kusema ukweli naweza kua na mchepuko naishia kufukuza aende,au mchepuko anaondoka mwenyewe baada ya kuona maruweruwe.

Huyu wangu mtulivu sauti yake naijua na mda wote yupo. Sijaenda kwa mganga wala wapi katokea tu..
Kaondoka kiroho yake anakuja badae na inawezekana akauliza kwanini umetoa siri.

Jibu simple tu"nakupenda"Na inawezekana ananisoma hapa Jf.

Aisee jini ni neno tu ila mi nimemkubali huyu Najma, yaani nishakua kataa ndoa. Tutakufa wote.

Ila huyu binti in soul ntakua nae tu nikifa ntawapa mrejesho😁.

Ndo kwanza tunaenda kuoga👊
Kwanini majini yana majina ya kiislam?

USSR
 
Back
Top Bottom