Jini mahaba

Jini mahaba

Maskini bahati mbaya muhusika wa mabo haya ameshatutoka, ila nadhani anaweza kupatikana mwingine, akijitokeza atatujuza ukweli wenyewe.
 
kwenye rangi hapo...
kuna m2 mzito tu kutoka kwenye hicho chama unachopeperusha bendera yake, nasikia aliwekewa ulinzi wa hivyo vitu!!
nakushauri tafuta contact za huyo m2, then akukutanishe na hayo madude face2face nafikiri utapata muda wa kuyahoji hayo maswali yako na yatakupa majibu ya kina zaidi.......
unaionaje hii mkuu?????????
MzeeWaShamba , hii imetulia maana ilitangazwa n mhusika hakukanusha
 
daaaaaah...
hiyo bendera kanyong'onyeza wengi...
mkuu huo umeme wenu hapo Hungumalwa, hamwezi kutusambazia sisi jirani zenu???
Angalia vizuri hiyo bendera na jaribu kuelewa post zangu utapata jibu
 
kwenye rangi hapo...
kuna m2 mzito tu kutoka kwenye hicho chama unachopeperusha bendera yake, nasikia aliwekewa ulinzi wa hivyo vitu!!
nakushauri tafuta contact za huyo m2, then akukutanishe na hayo madude face2face nafikiri utapata muda wa kuyahoji hayo maswali yako na yatakupa majibu ya kina zaidi.......
unaionaje hii mkuu?????????
Ni nani huyo mkuu?
 
kwahiyo waweza kupewa mimba na kuzaa jini mahaba lingine?
Mkuu nimefurahi na mchango wako,tusubiri jibu.
Mi bado sijapata jibu hata kama sijapata jibu nauliza lingine,
Je kuna jini mahaba Gay?
 
Back
Top Bottom