Jini mahaba

Maskini bahati mbaya muhusika wa mabo haya ameshatutoka, ila nadhani anaweza kupatikana mwingine, akijitokeza atatujuza ukweli wenyewe.
 
MzeeWaShamba , hii imetulia maana ilitangazwa n mhusika hakukanusha
 
daaaaaah...
hiyo bendera kanyong'onyeza wengi...
mkuu huo umeme wenu hapo Hungumalwa, hamwezi kutusambazia sisi jirani zenu???
Angalia vizuri hiyo bendera na jaribu kuelewa post zangu utapata jibu
 
Ni nani huyo mkuu?
 
kwahiyo waweza kupewa mimba na kuzaa jini mahaba lingine?
Mkuu nimefurahi na mchango wako,tusubiri jibu.
Mi bado sijapata jibu hata kama sijapata jibu nauliza lingine,
Je kuna jini mahaba Gay?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…