navosikia ni kama unakuwa unaota mtu anakuingilia ukiamka teari mambo nje nje
MzeeWaShamba , hii imetulia maana ilitangazwa n mhusika hakukanushakwenye rangi hapo...
kuna m2 mzito tu kutoka kwenye hicho chama unachopeperusha bendera yake, nasikia aliwekewa ulinzi wa hivyo vitu!!
nakushauri tafuta contact za huyo m2, then akukutanishe na hayo madude face2face nafikiri utapata muda wa kuyahoji hayo maswali yako na yatakupa majibu ya kina zaidi.......
unaionaje hii mkuu?????????
Ni nani huyo mkuu?kwenye rangi hapo...
kuna m2 mzito tu kutoka kwenye hicho chama unachopeperusha bendera yake, nasikia aliwekewa ulinzi wa hivyo vitu!!
nakushauri tafuta contact za huyo m2, then akukutanishe na hayo madude face2face nafikiri utapata muda wa kuyahoji hayo maswali yako na yatakupa majibu ya kina zaidi.......
unaionaje hii mkuu?????????