Jino linaniuma

gilldenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
2,915
Reaction score
3,019
Wapendwa,

Nasumbuliwa na jino gego la juu linaota sasa fizi zimevimba na jino linaniuma balaa nashindwa kula upande huo... na apa nimekunywa panadol lkn bado maumivu nayapata msaada kwa mwenye ufahamu naumia....
 
Wapendwa
Nasumbuliwa na jino gego la juu linaota sasa fizi zimevimba na jino linaniuma balaa nashindwa kula upande huo... na apa nimekunywa panadol lkn bado maumivu nayapata msaada kwa mwenye ufahamu naumia....
Hayo ndo maumivu ya ukubwa.
 
Wapendwa
Nasumbuliwa na jino gego la juu linaota sasa fizi zimevimba na jino linaniuma balaa nashindwa kula upande huo... na apa nimekunywa panadol lkn bado maumivu nayapata msaada kwa mwenye ufahamu naumia....
Tumia 'Ampisilin' ilinipitia hiyo hali yale meno 32 ya mtu mzima hilo la 31
 
Wapendwa
Nasumbuliwa na jino gego la juu linaota sasa fizi zimevimba na jino linaniuma balaa nashindwa kula upande huo... na apa nimekunywa panadol lkn bado maumivu nayapata msaada kwa mwenye ufahamu naumia....
Tumia Dawa wa Dr Ts na Zaminocal
 
Pigia mswaki dawa ya meno inaitwa sensodyne (multicare for sensitive teeth)

Inapatikana kwnye pharmacy au maduka makubwa ya vipodozi

Price zinacheza kwny 5,000-10,000 kutegemea na muuzaji na ujazo wa dawa

NB:
ukinunua tofauti na hiyo tusilaumiane Maana sensodyne utoa dawa kulingana na matumizi

Zipo
-sensodyne za harufu mbaya mdomoni
-sensodyne za kungarisha meno machafu
-sensodyne za wenye fizi kuvimba& kuuma
 
Asanteni sana wapendwa kwa ushauri wenu ...
 
Wapendwa
Nasumbuliwa na jino gego la juu linaota sasa fizi zimevimba na jino linaniuma balaa nashindwa kula upande huo... na apa nimekunywa panadol lkn bado maumivu nayapata msaada kwa mwenye ufahamu naumia....
0715445011
piga hiyo namba utapata daw aya meno nzuri sana. bei 6000 tu jamaa wapo kariakoo
 
Miaka kumi iliyopita niliwahi pata tatizo la jino lilikuwa likiuma sana, nikauliza watu wakanielekeza kwa dr mmoja kkoo nikaenda.

Sasa dr ameona akasema hili ni la kutoa limeharibika vibaya hakuna namna litaweza kuzibika nikakubali.

Changamoto ilianzia nimekaa kwenye dental chair kuna sahani ilikuwa na mikasi zadi ya ishirini dr akiiweka vizuri huku akiwa bado anaweka gloves zake sawa nikamuomba niende toilet.

Niliingiwa na woga nikaamua kuondoka eneo lile haraka sana, ila sasa nilikiwa njiani maumivu yalikuwa makali sana.

Kwa kweli usiku sikulala hata kidogo kutokana na maumivu ikabidiasubuhi kulipo pambazuka niwahi pale.

Dr hakunikumbuka ila baada ya kuona jino akakumbuka kuwa jana ni mimi niliemkimbia, ilibidi nikubali tu na nilapigwa sindano za ganzi kwa taabu sana lkn zoezi likakamilika.
 
unakunywa bia zabaridi ndugu..kama ndio wacha mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…