Jinsi Ajira Portal Ilivonipotezea kipenzi changu!!

Mkuu kaza iwe chachu Mungu atakupa pa kubwa kuliko bwana ake na yeye mwenyewe siku unakuwa boss wake imagine the vibe atataman akimbie kazini
 
Kwahaya uliopitia umeshajipata cheo cha mjumbe wa kamati kuu Jobless Association Tanzania. Pole ila mapambano yaendelee.
 
Sure kaka ongeza bidiii kusoma na kujiandaa vyema ukiitwa nyengine nenda kafanye tu bila kujali ya kwanza una assume uli fail ya pili unaenda kufanya vizur
Nawait watangaze tena kazi nikapambanie tena kuingia oral maana nina selected for oral moja tu hadi sasa japo naona watu wanachomolewa kwa database kila pdf inayotoka najipa moyo labda nami nitafikiwa
 
Mkuu kikubwa ulisuza rungu ipasavyo utakuwa unamuona takataka mda mwingine tu
 
Mapenzi ni ufala, kwa gharama yoyote ile usikubali uwe mbali na mpz/mke/mume wako ,,,, mwanzo wa usaliti unaanzia hapo mwisho wa siku ananogewa, unaundiwa zengwe mnaachana ! Pole utampata wa kufanana nae
 
Huyo hamjaachana, ukikaza kidogo mnapasha kiporo.
Jamaa kaoa mke wa mtu.

Hawa wadada waliomaliza chuo jau sana, yaani wewe ulioa kabisa na huko jamaa ataambiwa alikua anaishi na wazazi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…