Jinsi Alikiba anavyoongezea umaskini mafans wake(bando) na kuwapunguzia uhuru

Jinsi Alikiba anavyoongezea umaskini mafans wake(bando) na kuwapunguzia uhuru

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Ali kiba ameendelea kuleta umaskini kwa washabiki wake, na kuwapunguzia uhuru wa kupata burudani. Mashabiki wa ali kiba wanatumia nusu ya kipato chao kununua bando ilimradi waweze kuangalia video ya Seduce me 24/7 na hivyo kufanywa mazezeta, kwani bando wanaloweka ni kwa ajili ya ali kiba na si kitu kingine cha kuleta maendeleo, wengine wameenda mbali zaidi hadi kuchukua mkopo ili kupata bando la kutosha kupambana na Diamond. Pia mashabiki wake wengi wamekuwa ombaomba, kila muda kuomba vocha ya bando. Pia kwetu cc baadhi ya wanaume tunaumia sana maana wapenzi wetu(mademu ) wengi ni timu kiba na tunaombwa pesa ya bando kila siku. Kama mnavyojua washabiki wa ali kiba 90% ni kina dada mfano jokate, wema, zamaradi, wolper, uwoya so ni shida.

Jambo jingine ni la kuwa na uhuru mdogo kwa mashabiki wa ali kiba kwani hawaruhusiwi kuangalia nyimbo nyingine kabisa zaidi katika you tube yaani ni marufuku wanapaswa kuangalia seduce me huku nyimbo nyingine kali zikiwapita pembeni. Kitu cha ajabu kabisa lazima tukuze mziki wetu tuangalie nyimbo zote kwa maana zote ni nzuri.

Mwisho kabisa kuna kitu kama nimekiona Kuna kaushindani you tube kati ya Seduce me na Zilipendwa na ninaona yeyote atakayelegeza atapitwa view so inawezekana washabiki wa watu hawa hawalali wanashinda you tube muda wote, wanateseka sana na watakuja kuumwa. Diamond na alikiba mtaua vijana wa watu na dhambi mtapata na moto mtachomwa.
Pia mange amesema diamond ameshaharibika kisaikolojia baada ya kushindwa battle na kiba hiyo nakubali lakini yote haya alijitakia kumdiss mtu ambaye alikuwa kimya. Pole baba hamisa
 
Ali kiba ameendelea kuleta umaskini kwa washabiki wake, na kuwapunguzia uhuru wa kupata burudani. Mashabiki wa ali kiba wanatumia nusu ya kipato chao kununua bando ilimradi waweze kuangalia video ya Seduce me 24/7 na hivyo kufanywa mazezeta, kwani bando wanaloweka ni kwa ajili ya ali kiba na si kitu kingine cha kuleta maendeleo, wengine wameenda mbali zaidi hadi kuchukua mkopo ili kupata bando la kutosha kupambana na Diamond. Pia mashabiki wake wengi wamekuwa ombaomba, kila muda kuomba vocha ya bando. Pia kwetu cc baadhi ya wanaume tunaumia sana maana wapenzi wetu(mademu ) wengi ni timu kiba na tunaombwa pesa ya bando kila siku. Kama mnavyojua washabiki wa ali kiba 90% ni kina dada mfano jokate, wema, zamaradi, wolper, uwoya so ni shida.

Jambo jingine ni la kuwa na uhuru mdogo kwa mashabiki wa ali kiba kwani hawaruhusiwi kuangalia nyimbo nyingine kabisa zaidi katika you tube yaani ni marufuku wanapaswa kuangalia seduce me huku nyimbo nyingine kali zikiwapita pembeni. Kitu cha ajabu kabisa lazima tukuze mziki wetu tuangalie nyimbo zote kwa maana zote ni nzuri.

Mwisho kabisa kuna kitu kama nimekiona Kuna kaushindani you tube kati ya Seduce me na Zilipendwa na ninaona yeyote atakayelegeza atapitwa view so inawezekana washabiki wa watu hawa hawalali wanashinda you tube muda wote, wanateseka sana na watakuja kuumwa. Diamond na alikiba mtaua vijana wa watu na dhambi mtapata na moto mtachomwa.
Pia mange amesema diamond ameshaharibika kisaikolojia baada ya kushindwa battle na kiba hiyo nakubali lakini yote haya alijitakia kumdiss mtu ambaye alikuwa kimya. Pole baba hamisa
Hatujui msimamo wako upi? Naona umechanganya changanya
 
Naona yamewafika shingon jamaa yuko anakalibia 5 milion nyie mnapiga porojo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha! Jamaa anazisema team kiba kuwa zinateseka kuviews,hali ya kuwa team mond nazo zimepunguza gape za views kutoka laki 9 hadi 7 sasa,na bado zinazid kupungua,sasa hapo ni kweli team kiba ndo zinafanya kazi au mond?
 
Basi huyo mpenzi wako itakua hajui au wewe ndiyo haujui hivyo anakufanya mjinga.

View youtube inahesabiwa kwa kila ip address itakayoonekana kuiangalia video husika mfano simu, lap top.
Na kwa kua kila kifaa kina ip address yake hiyo inamaanisha mpenzi wako kifaa chake kilishahesabiwa tangu siku ya kwanza na hakitahesabiwa tena.

Hii hoja yako kua watu hawalali ili waangalie Seduce Me au Zilipendwa ili waongeze views ni batili.
 
eddo kumwembe

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Basi huyo mpenzi wako itakua hajui au wewe ndiyo haujui hivyo anakufanya mjinga.

View youtube inahesabiwa kwa kila ip address itakayoonekana kuiangalia video husika mfano simu, lap top.
Na kwa kua kila kifaa kina ip address yake hiyo inamaanisha mpenzi wako kifaa chake kilishahesabiwa tangu siku ya kwanza na hakitahesabiwa tena.

Hii hoja yako kua watu hawalali ili waangalie Seduce Me au Zilipendwa ili waongeze views ni batili.

We ni kilaza kama Bashite, simply utaratibu ni kwamba katika ip adress moja unaweza kuitazama video mara 300 kwa siku na zinakuwa counted ila ukishazisha zaidi ya 300 katika ip moja utaratibu unabadilika na kuwa almost 1 count per 300 view for the same Ip adress
 
We ni kilaza kama Bashite, simply utaratibu ni kwamba katika ip adress moja unaweza kuitazama video mara 300 kwa siku na zinakuwa counted ila ukishazisha zaidi ya 300 katika ip moja utaratibu unabadilika na kuwa almost 1 count per 300 view for the same Ip adress
Sawa
 
Diamond anapotea kwa kazi kwenye ulimwengu wa mziki. Sababu kuu ni yeye kujiunga na adui mkubwa wa watanzania (CCM)

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
Diamond anapotea kwa kazi kwenye ulimwengu wa mziki. Sababu kuu ni yeye kujiunga na adui mkubwa wa watanzania (CCM)

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
Upo wrong SANAAA, huyo Ali kiba siyo Ccm miaka nenda rudi

Tatzo ni upuuzi wa mange kuugeuza kua wa UKAWA,NA HUU NI UJINGA WA KIWANGO CHA PHD,SISI WENGINE SI CCM NA HATUSAPOTI UPUUZI ALOUANZISHA SASA HIVI MANGE KUA AJENDA YA UKAWA,AFU ULIVYO POMPOPO HUYO MANGE NI JUZI TU KAACHANE NA CCM TENAKIJUUJUU LAKINI ALIKUA HUKOHUKO NA BAFO ALIKUA ANAMCHUKIA DIAMOND



ALAFU ULIVYO NA MAWAZO FINYU UNAFIKIRI DIAMOND KASHUKA KWA AKILI ANAYOWAELEZAMANGE KATKA PAGE YAKE

UTAKUA HUJAWAHI FATILIA HAYA MAMBO,HUYO WEMA ALISHAMPIGIAGA MPAKA KURA DAVIFO NA TEAM YAKE WAMSHUSHE DIAMOND
WALIPIGA KURA ZAKILIMANJARO MUSIC AWARD DIAMOND AKOSE KIBA AKAPATANYINGI


WALISHAMPIGIAGA KIKI KIBAMPAKA TUZO ZA KIMATAIFA LAKINI WAPIIIIIII

HUYO NDO MONDI SIMBAWA MAPAMBANO


HUA HAKATI TAMAA ZA KIPUUZI KMAA FIKIRI

SEDUCE ME MNAENDELEA KUPAMBANIA VIEWS HUKU WATU HAWASKIZI MTAANI. WANAPIGA WCB TUPU


MNAMUHARBU TU HUYO KIBA,TIME WILL TELL
 
Ali kiba ameendelea kuleta umaskini kwa washabiki wake, na kuwapunguzia uhuru wa kupata burudani. Mashabiki wa ali kiba wanatumia nusu ya kipato chao kununua bando ilimradi waweze kuangalia video ya Seduce me 24/7 na hivyo kufanywa mazezeta, kwani bando wanaloweka ni kwa ajili ya ali kiba na si kitu kingine cha kuleta maendeleo, wengine wameenda mbali zaidi hadi kuchukua mkopo ili kupata bando la kutosha kupambana na Diamond. Pia mashabiki wake wengi wamekuwa ombaomba, kila muda kuomba vocha ya bando. Pia kwetu cc baadhi ya wanaume tunaumia sana maana wapenzi wetu(mademu ) wengi ni timu kiba na tunaombwa pesa ya bando kila siku. Kama mnavyojua washabiki wa ali kiba 90% ni kina dada mfano jokate, wema, zamaradi, wolper, uwoya so ni shida.

Jambo jingine ni la kuwa na uhuru mdogo kwa mashabiki wa ali kiba kwani hawaruhusiwi kuangalia nyimbo nyingine kabisa zaidi katika you tube yaani ni marufuku wanapaswa kuangalia seduce me huku nyimbo nyingine kali zikiwapita pembeni. Kitu cha ajabu kabisa lazima tukuze mziki wetu tuangalie nyimbo zote kwa maana zote ni nzuri.

Mwisho kabisa kuna kitu kama nimekiona Kuna kaushindani you tube kati ya Seduce me na Zilipendwa na ninaona yeyote atakayelegeza atapitwa view so inawezekana washabiki wa watu hawa hawalali wanashinda you tube muda wote, wanateseka sana na watakuja kuumwa. Diamond na alikiba mtaua vijana wa watu na dhambi mtapata na moto mtachomwa.
Pia mange amesema diamond ameshaharibika kisaikolojia baada ya kushindwa battle na kiba hiyo nakubali lakini yote haya alijitakia kumdiss mtu ambaye alikuwa kimya. Pole baba hamisa
Mh wewe Tim Karanga sio bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi huyo mpenzi wako itakua hajui au wewe ndiyo haujui hivyo anakufanya mjinga.

View youtube inahesabiwa kwa kila ip address itakayoonekana kuiangalia video husika mfano simu, lap top.
Na kwa kua kila kifaa kina ip address yake hiyo inamaanisha mpenzi wako kifaa chake kilishahesabiwa tangu siku ya kwanza na hakitahesabiwa tena.

Hii hoja yako kua watu hawalali ili waangalie Seduce Me au Zilipendwa ili waongeze views ni batili.
well said
 
Back
Top Bottom