Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
hebu tuwekee hiyo nyimbo tuisikie...baada msanii kala jelemay kuachia kazi mpya nilitegemea mapokezi kutokana ujumbe mkubwa kwa jamii na kwa mashabiki lakini imekuwa kinyume chake watu wameipuuza haijafany vizur vile ambavyo ilitakiw mara nyingi mashabiki wamekuw wanalalama kuhusu wasanii wao kuimba nyimbo za mapenzi kila siku lakin ndo zinazopokelew kwa mapokez makubwa
hebu tuwekee hiyo nyimbo tuisikie...
Weka wimbo tuusikie
huyu kijana jambo alilofanya ni kubwa Mungu ndo anajuaKweli Kala kapuuzwa maana naona hata huu uzi una dalili za kupuuzwa.
Kapewa tuzohivi bado hajapata endorsement ya ule wimbo wake wa wanandoto? mana ujumbe mzuri sana