MwanaAfya
Member
- Jan 17, 2019
- 6
- 1
ATI ni Association of Tanzania Insurers.
ATI waliweka tangazo kwenye magazeti mbalimbali wakitaka wamiliki wa hospital binafsi wawe wanachama wao ili waweze kufanya kazi na mashirika ya bima ya afya bila hivyo watakosa fursa Hiyo.
Sasa najiuliza si makubaliano ya kufanya kazi na bima husika yanakuwa ni ya hospital na bima husika? ATI wanaingiaje hapo??
Mara ngapi tumesikia Hospital binafsi wakiwadai bima hizo mamilioni ya fedha kwa mda mrefu na mpaka wengine wanasitisha huduma kwa baadhi ya bima?? Ebu ATI acheni mchezo huo.
Ninaona kama tangazo lenu lina nia ya kudhoofisha shughuli za afya za sekta binafsi.
Tunaomba pia TIRA waingilie hili maana kuna mchezo hapa unafanyika.
Ahsante.
Fedha ni Pesa
ATI waliweka tangazo kwenye magazeti mbalimbali wakitaka wamiliki wa hospital binafsi wawe wanachama wao ili waweze kufanya kazi na mashirika ya bima ya afya bila hivyo watakosa fursa Hiyo.
Sasa najiuliza si makubaliano ya kufanya kazi na bima husika yanakuwa ni ya hospital na bima husika? ATI wanaingiaje hapo??
Mara ngapi tumesikia Hospital binafsi wakiwadai bima hizo mamilioni ya fedha kwa mda mrefu na mpaka wengine wanasitisha huduma kwa baadhi ya bima?? Ebu ATI acheni mchezo huo.
Ninaona kama tangazo lenu lina nia ya kudhoofisha shughuli za afya za sekta binafsi.
Tunaomba pia TIRA waingilie hili maana kuna mchezo hapa unafanyika.
Ahsante.
Fedha ni Pesa