Busara ziro
Member
- Dec 2, 2019
- 63
- 57
Dah mimi nawazaga nasema "huyu mzee mbona alizaliwa bongo kwanini asingezaliwa mbele" kumbe nayeye anawaza "huyu mtoto ningejua siku ile ningevaa condom".
😂😂😂😂😂
unaona sasa thinking yako, ipo chini sana...Dah mimi nawazaga nasema "huyu mzee mbona alizaliwa bongo kwanini asingezaliwa mbele" kumbe nayeye anawaza "huyu mtoto ningejua siku ile ningevaa condom".
Dingii vipi mbona unanfatilia asee mimi situmii mashoga bana. Hebu jaribu bahati mahali ingine.unaona sasa thinking yako, ipo chini sana...
ukiwa mpumbavu lazima tukwambie, acha upumbavu na mashoga ni rafiki zako usiniletee ushenzi wako, unakataa nini sasa, wewe ni kilaza!Dingii vipi mbona unanfatilia asee mimi situmii mashoga bana. Hebu jaribu bahati mahali ingine.
Poa poa dingii. Pita alolo basi nsije kukuharibia siku na mimi nikaharibu CV yangu.ukiwa mpumbavu lazima tukwambie, acha upumbavu na mashoga ni rafiki zako usiniletee ushenzi wako, unakataa nini sasa, wewe ni kilaza!
poa dogo, usije tena anga hizi, nikakugeuza mke wa pili!Poa poa dingii. Pita alolo basi nsije kukuharibia siku na mimi nikaharibu CV yangu.
sasa usipende mazoea ya kidemu, wewe unaniletea umama unafikiri inakaaje sasa! angalia sana, sikunyingine utakuja kutongozwa!Acha uchoko. Kama umekosa soko usishobokee watu usiowajua. Nani kaanza kum-quote mwenzake mpaka uniambie nisije anga hizo? Acha uduanzi waki wewe.
Life bwana kuna muda unawaza daaah..!! "hivi kwa mfano BABA Angekuaga MO DEWJ sahvi maisha mtelezo tuu!! " Wakati huohuo baba nae unakuta anawaza hivi mfano "MWANANGU angekuaga SAMATTA "loooh..!! Ningekua nakula maisha tu... Yaani we acha Halafu kuna kipindi MTOTO Anawaza "dingi akifa tu nauza nyumba" yaani kumbe mda huu dingi nae anawazia ufe ili apangishe chumba unachokaa!!
_LIFE IS NOT FAIR