Jinsi babu yangu alivyowaweza wafugaji wakageuka walinzi wa mashamba yetu

Sasa binadamu na Kula majani ya mihogo wapi na wapi? Hata kisamvu hayachumwi.
Majani yake hayana tofauti na majani ya muhogo wa kawaida, kama huujui unaweza ukachuma ukapika kisamvu. Huwa unaitwa mpira mkuu au pyrethram. Ukikomaa unatoa maua mekundu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…