Jinsi Bakhmut ilivyotekwa kwa werevu wa kivita

Jinsi Bakhmut ilivyotekwa kwa werevu wa kivita

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hii vita imefika pahala ni akili zaidi. Urusi anajua anapambana na mtu ambaye anasaidiwa na kundi kubwa la watu wanaotaka wamuangamize. Hivyo anajuwa anapewa silaha na taarifa nying za kijasusii. Imebidi na yeye asitumie silaha peke yake aongezee na hadaa za hali ya juu.

Mtu aliyetumika kuwahaada Ukraine ni Prigozhin rafiki yake Putin.Baada ya kutumia nguvu kubwa na kupoteza askari wengi wakiwa wamebakisha njia moja tu ya kuingilia Bakhmut.Prigozhin alijifanya kupayuka payuka sana na kuwashutumu waziri wa ulinzi Shoigu na jeshi zima la Urusi kwamba wamemnyima silaha.Halafu akatangaza ataachia ngazi na kuondoka Bakhmut.Baada ya hapo akatangaza vikosi vya Urusi vilivyokuja kumpa nguvu vinakimbia uwanja wa vita na hata video ikapatikana wakikimbia.

Hapo katika kukimbia askari wa Urusi ndipo Ukraine walipoingia kichwa kichwa na kupeleka askari wao eti kuchukua maeneo yaliyoachwa na Urusi.Wakati huo huo jeshi la Urusi lilikuwa limetayarisha kikosi kikubwa cha kupiga kutoka angani.

Makamanda wa mwanzo waliofika maeneo hayo wakapigwa vibaya.Wakitaka kuchimba mahandaki hata hawajafika nusu wanapigwa. Walioweza kukimbia wakatoa ushahidi tofauti kusema nani kadanganya kuwa Urusi imeishiwa na silaha na kwamba askari wake wamekata tamaa. Ilikuwa wamechelewa sana.Walipigwa mfululizo na Urusi kukamilisha kuuchukua mji wote.

Ukraine wangetumia akili kidogo tu wasingejipeleka kivile kwani kama Prigozhin angekuwa anasema kweli basi asingebaki hai hata kwa wiki moja.
Mwenzao mmoja aliona mapema lakini hawakumsikiliza.
“The enemy is trying to carry out these attacks 24/7… We have not noticed that they have a shortage of ammunition, as they claim. I think it's the opposite. The intensity of the shelling is only increasing," Ihor Shepetin, a battalion commander in the territorial defense brigade, told Ukrainian TV."
 
Vita ni akili,
Anakong'otwa Uikrane,anazikwa NATO.
20230520_223809.jpg
 
Yaani wewe mchambuzi wakwa mpalange ndio unajua propaganda za prigozhin kuliko NATO na Ukraine yenyewe hadi waende kichwa kichwa kama unavyobwatuka
Eti wanakimbia kwenda kushika maeneo.Kumbe ilikuwa chambo tu watoke mashimoni walimokuwa wamejichia.Na ndio walikuwa ndio askari wachache walikuwa hai na wenye nguvu za kupigana.Loo kutoka tu mizinga kutoka angani ikawazingira kila upande.yupo mmoja alieleza uwazi sana." Loo Urusi haina upungu wa silaha usidanganywe..".akarudi alikotoka. akaacha wenzake wakaangamia.
 
Yaani wewe mchambuzi wakwa mpalange ndio unajua propaganda za prigozhin kuliko NATO na Ukraine yenyewe hadi waende kichwa kichwa kama unavyobwatuka
Eti wanakimbia kwenda kushika maeneo.Kumbe ilikuwa chambo tu watoke mashimoni walimokuwa wamejichia.Na ndio walikuwa ndio askari wachache walikuwa hai na wenye nguvu za kupigana.Loo kutoka tu mizinga kutoka angani ikawazingira kila upande.yupo mmoja alieleza uwazi sana." Loo Urusi haina upungu wa silaha usidanganywe..".akarudi alikotoka.
Kudanganya mashoga ni rahisi
Sana kabisa. Ushoga ni laana katika kila jambo.Usikubali shoga aingie nyumbani kwako na kwenye jeshi ndio kabisa.
 
Porojo za kwenye vijiwe vya kahawa na tangawizi.
 
Hii vita imefika pahala ni akili zaidi. Urusi anajua anapambana na mtu ambaye anasaidiwa na kundi kubwa la watu wanaotaka wamuangamize. Hivyo anajuwa anapewa silaha na taarifa nying za kijasusii. Imebidi na yeye asitumie silaha peke yake aongezee na hadaa za hali ya juu.

Mtu aliyetumika kuwahaada Ukraine ni Prigozhin rafiki yake Putin.Baada ya kutumia nguvu kubwa na kupoteza askari wengi wakiwa wamebakisha njia moja tu ya kuingilia Bakhmut.Prigozhin alijifanya kupayuka payuka sana na kuwashutumu waziri wa ulinzi Shoigu na jeshi zima la Urusi kwamba wamemnyima silaha.Halafu akatangaza ataachia ngazi na kuondoka Bakhmut.Baada ya hapo akatangaza vikosi vya Urusi vilivyokuja kumpa nguvu vinakimbia uwanja wa vita na hata video ikapatikana wakikimbia.

Hapo katika kukimbia askari wa Urusi ndipo Ukraine walipoingia kichwa kichwa na kupeleka askari wao eti kuchukua maeneo yaliyoachwa na Urusi.Wakati huo huo jeshi la Urusi lilikuwa limetayarisha kikosi kikubwa cha kupiga kutoka angani.

Makamanda wa mwanzo waliofika maeneo hayo wakapigwa vibaya.Wakitaka kuchimba mahandaki hata hawajafika nusu wanapigwa. Walioweza kukimbia wakatoa ushahidi tofauti kusema nani kadanganya kuwa Urusi imeishiwa na silaha na kwamba askari wake wamekata tamaa. Ilikuwa wamechelewa sana.Walipigwa mfululizo na Urusi kukamilisha kuuchukua mji wote.

Ukraine wangetumia akili kidogo tu wasingejipeleka kivile kwani kama Prigozhin angekuwa anasema kweli basi asingebaki hai hata kwa wiki moja.
Mwenzao mmoja aliona mapema lakini hawakumsikiliza.
“The enemy is trying to carry out these attacks 24/7… We have not noticed that they have a shortage of ammunition, as they claim. I think it's the opposite. The intensity of the shelling is only increasing," Ihor Shepetin, a battalion commander in the territorial defense brigade, told Ukrainian TV."

Hii vita imefika pahala ni akili zaidi. Urusi anajua anapambana na mtu ambaye anasaidiwa na kundi kubwa la watu wanaotaka wamuangamize. Hivyo anajuwa anapewa silaha na taarifa nying za kijasusii. Imebidi na yeye asitumie silaha peke yake aongezee na hadaa za hali ya juu.

Mtu aliyetumika kuwahaada Ukraine ni Prigozhin rafiki yake Putin.Baada ya kutumia nguvu kubwa na kupoteza askari wengi wakiwa wamebakisha njia moja tu ya kuingilia Bakhmut.Prigozhin alijifanya kupayuka payuka sana na kuwashutumu waziri wa ulinzi Shoigu na jeshi zima la Urusi kwamba wamemnyima silaha.Halafu akatangaza ataachia ngazi na kuondoka Bakhmut.Baada ya hapo akatangaza vikosi vya Urusi vilivyokuja kumpa nguvu vinakimbia uwanja wa vita na hata video ikapatikana wakikimbia.

Hapo katika kukimbia askari wa Urusi ndipo Ukraine walipoingia kichwa kichwa na kupeleka askari wao eti kuchukua maeneo yaliyoachwa na Urusi.Wakati huo huo jeshi la Urusi lilikuwa limetayarisha kikosi kikubwa cha kupiga kutoka angani.

Makamanda wa mwanzo waliofika maeneo hayo wakapigwa vibaya.Wakitaka kuchimba mahandaki hata hawajafika nusu wanapigwa. Walioweza kukimbia wakatoa ushahidi tofauti kusema nani kadanganya kuwa Urusi imeishiwa na silaha na kwamba askari wake wamekata tamaa. Ilikuwa wamechelewa sana.Walipigwa mfululizo na Urusi kukamilisha kuuchukua mji wote.

Ukraine wangetumia akili kidogo tu wasingejipeleka kivile kwani kama Prigozhin angekuwa anasema kweli basi asingebaki hai hata kwa wiki moja.
Mwenzao mmoja aliona mapema lakini hawakumsikiliza.
“The enemy is trying to carry out these attacks 24/7… We have not noticed that they have a shortage of ammunition, as they claim. I think it's the opposite. The intensity of the shelling is only increasing," Ihor Shepetin, a battalion commander in the territorial defense brigade, told Ukrainian TV."
Ondoa porojo lako hapa., Wagner walitaka kuondoka kutokana kupoteza wanajeshi wengi sana wakalazimishwa basi watangaze ushindi ndicho kilichotokea bakhmut hadi hivi naandika battle inaendelea na Ukraine hadi leo asubuhi wanakiri kusonga mbele zaidi ya 2km, kutoka walipokuwa.

Soma habari mbaya zaidi inayomuhusu Putini kuamkia leo nimekuwekea hapa chini., wanasema mzaha mzaha hutumbuka usaha

 

Attachments

  • 9f979152-ff2b-4307-b660-0b596bc0bdf3.jpg
    9f979152-ff2b-4307-b660-0b596bc0bdf3.jpg
    54.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom