Jinsi Baraza la Mitihani la Taifa 'NECTA' linavyotudhalilisha na kutuacha uchi Watanzania

Jinsi Baraza la Mitihani la Taifa 'NECTA' linavyotudhalilisha na kutuacha uchi Watanzania

Acha udini,hapa hapaongelewani masuala ya dini,wewe waleta udini,hata akili hutumii,kama hicho kiswahili ni maneno mengi yanaotokana na lugha iliondikwa katika Qur'an..Wafikiri watu wote,wana akili kama zako za kukaririshwa,kwenye vijiwe vya pombe.
Hata Kiswahili sanifu unashindwa kuandika. Labda uwe na elimu ya kukariri Korani.U
 
Dawa yake ni kufaulu....wakikutafuta wanakuta kitu Div one imesimama, unajenga heshima.
 
Laiti kama ungefanya vizuri Mitihani yako, usinge kuja na thread kama hii.. !

Thibitisha ni Uongo katika maoni yangu..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu nigooogle za Magufuli na bashite nione kama ntazipatq
 
Back
Top Bottom